chuo cha kampala international university walikuwa katika mgomo jioni hii kwa sababu ya ada kubwa na sytem ya kutoa elimu kwa njia ya modules kwa one month FFU ndio waliowatawanya. tution fees is too high ie 3m and 8 laki per year compare to the type of education they delivered. 95% of the management are ugandan and very few kenyan an 5% are tanzanian. also lectures wa kitanzania wanalipwa kwa tsh. small amount of money while wakenya na waganda wanalipwa kwa dola na wanafunzi wanalipa kwa dola is it fair jamani????? sasa tunyonywa hadi kwenye elimu,what shall we do? hayo ni machache tu but mgomo jtatu unaendelea hadi kieleweke.