Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Mtoto:Baba mi siendi tena shule,ticha kaniambia mpaka nimtajie Kampala iko wapi.
Baba:unaona sasa!mara ngapi we mtoto nakukataza kuchezea vitu vya watu,haya Kampala ya mwalimu umeiweka wapi..khaa?!!
Baba:unaona sasa!mara ngapi we mtoto nakukataza kuchezea vitu vya watu,haya Kampala ya mwalimu umeiweka wapi..khaa?!!