MkenyaKwani wewe wa wapi hapa Afrika mashariki!? Tuanzie hapo kwanza!
NimeelewaNi baadhi ya kabila za Tz huwa zinakuwa na hiyo mother tongue inayokosa 'r', na nyingine kukosa 'l' (like kurya),
But basically, kiswahili halisi ni Madaraka, sio madalaka.
Haya mambo ya City vs City unayapenda sana.Kampala vs Mombasa
Nayapenda ndioHaya mambo ya City vs City unayapenda sana.
kwa hiyo tangu mwaka 1978/1979 hawahangaika kutengeneza?,Hiroshima walipigwa bomu la atomic,kama wangekuwa na mindset kama zako basi wangekuwa na sababu kubwa ziadi ya kusingiziaHuo mji ulikuwa mzuri sana
Vita ya kagera viliharibu mji huo