MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,576
- 29,982
- Thread starter
- #81
Angalia mpagilio wa jiji la dsm barabara,miundo mbinu mbarlimbali ikiwemo usafiri huwezi amini mpaka leo kamapala wanatumia vihiace kusafirisha abiria leo kampala bodaboda(tukutuku) mpaka katikati ya jiji lakini dsm ukingia na bodaboda,bajaji,au hiace ya abiria maeneo kama posta,kariakoo,msasani masaki n.k wewe ni mwanaume maeneo kama yale hayaruhusiwi kabisa.Kwa ufupi jiji la dsm leo hii kuna mabasi ya mwendo kasi yanayobeba abiria kampala tuwape miaka 7 kufikia hatua hiyo,kama umewahi fika dsm city morogoro road ilivyojengwa kisasa sehemu za kusubiri abiria(vituo) vimejengwa kisasa compare na barabara za UG huo ni kwa ufupi tu lakini pia majengo ya UG hasa ghorofa ubunifu ni hafifu wanajenga ramani ambazo ni common sana.
Vizuri kwa ufafanuzi wako
Lakini kumbuka
Kampala ya 2010 si yaleo.