Kampa mwanamke mimba anadai bado ananipenda

Kampa mwanamke mimba anadai bado ananipenda

Msikilize mpenzi wako amekueleza ukweli anakupenda achana na maneno ya watu.kuwa na mwanamke ambae amezaa nae pembeni haimaanishi hakupendi dada yangu.nawatakia maisha mema
 
Mrs minel

Wahuni wanaongea hivyo hivyo, hapo wote wawili mmeaminishwa kwamba ni njia kuu.
Jiandae kisaikolojia
 
Last edited by a moderator:
Natumaini alitumia kondom alipokutana na huyo mwanamke!!!.....tia akili kichwani.
mkitifuana tena?
 
Kama unampenda sana na we kabebe mimba jaman..... au amesitisha huduma kwako.
teh teh..
 
Endelea kusubiria dodo chini ya mwarobaini, mpak utambue muda ni pesa utakua umeshafirisika.
 
Aaagh kuna nini anapata kutoka kwako maana duh

Kwanini mlitengana kwa mwezi mmoja kama unampenda mnooooooo?
 
Inaelekea amekuwa naye muda mrefu huyo mama, na labda hajaolewa maana hauna uhakika labda mtoto wa kwanza wake pia.

Wewe ni mchepukoooooo

Inawezekana au unasemaje?
 
MMH... yalinikuta hayo. Kuachana haikuwa rahisi maana aliniganda mno, ila moyoni nilijua lazima nimuache. Nilipoenda chuo distance kati yetu ikawa kubwa, nikakata mawasiliano na hakuniona tena.

Mi nakushauri hapo sio penyewe, kimbia haraka sana
 
nimeshachunguza huyo mwanamke mwenye mimba ana mtoto mdogo na yupo kwenye process za talaka means alikua ameolewa
unajua ni ameambiwa vipi kuhusu iyo mimba na uyo anaekuambia atakuoa wewe
 
Mrs minel

wakati anasubiri huyo hawara wake, we njoo huku kwangu, ni PM nikupe ushauri mwanana!
 
Last edited by a moderator:
dada hapo cha kufanya nakushauri km mchungaji. kama anasema anakupenda mwambie aje nyumbani atoe mahari kabsa, hiyo ndo iwe ishara kwako, lkn sio kuwa km mlivyokuwa. la sivyo utaendelea kujuta na jamaa anaweza kumrudia huyo alyezaa nae. take care. kuwa na mcmamo huo wa mahari
 
Rafiki run for ur life, huyo hakupendi anakuzuga tu anashindwa kukwambia direct, unampenda sawa ila inabidi tu ufanye maamuzi magumu umuache maana hakuna namna nyingine.
Huyo mama kijacho akishajifungua atakuja tena kukwambia inabidi tu nimuoe maana pressure itamuua, jipe moyo utapata mwingine anaekupenda kwa dhati huyo muache tu amlelee mama kijacho.
 
Back
Top Bottom