Kampa mwanamke mimba anadai bado ananipenda

Kampa mwanamke mimba anadai bado ananipenda

Mioyo ni midanganyifu always

Hiko kimeo kinaku enjoy tu
na nna uhakika hiyo hadithi ya huyo mwanamke kuumwa moyo ni ya kutunga

kwa ufupi umeambiwa usim disturb 'the real mrs'..
wewe ushapangwa uwe mchepuko

Moyo si mdanganyifu uwa unasema ukweli always. Akili tu hiyo, akiiweka sawa atakuwa huru
 
Mioyo ni midanganyifu always

Hiko kimeo kinaku enjoy tu
na nna uhakika hiyo hadithi ya huyo mwanamke kuumwa moyo ni ya kutunga

kwa ufupi umeambiwa usim disturb 'the real mrs'..
wewe ushapangwa uwe mchepuko

Mkuu umesema ukweli, tatizo la mapenzi unaweza kuwa unaomba ushauri lakini hutaki kukubali ushauri, huyu anapangwa kuwa mchepuko, huyo mwanamke mwenye ujauzito hawezi muacha jamaa kirahisi, ndo ukweli
 
minel is the guy am talking about
pole sana. ninyi wanawake mkishapenda bwana hata mletewe/mfanyiwe nini hambadiliki. mpaka mmoja wenu aumie.

Mpaka unajiita mrs minel, alikuwa ameshammimba huyo nyumba ndogo ?
 
Wenzio wengi wamedanganywa na mioyo yao
we hujawahi?

Nishawahi sana lakini nilikuja kujua ni akili si moyo. Moyo always upo right. Ukija kuchunguza hayo anayoyaita mapenzi utagundua tu ni mind tu inamchezea. Hayo "mapenzi" yanaendeshwa na akili yake tu, moyo upo sawa.
 
Kuna kitu nakuona moyoni, ni kama unataka umwambie amforce huyo mwanamke atoe hiyo mimba..! utakuwa ni mkatili ajabu
 
Shida ya kupenda na kupofuka..penda uwache macho wazi.
 
Hebu nitumie no yako pm nijue jinsi ya kukushauri kitaalam maana mimi ni mtaalam wa hayo mambo. Fanya hima.
 
........shukuru kapata mimba tu ange pata na ukimwi je....!??? just sahau juu ya hlo
 
Kutoelaana naye mwezi mmoja 2 ashabebesha mimba mwanamke mwingine huyo ni hatariiiii

kwani kumpa mwanamke mimba inachukuwa sekunde ngapi? We kama ni mwanaume utanielewa.mimba hata changaduo anabeba cha msingi jamaa ameshamueleza mamsap ukweli avumilie huyo mwanamkey ajifungue waendelee na maisha Yao.
 
Back
Top Bottom