Kahawa
Maharage
Mahindi
Ngano
Soya
Alizeti
Nk......
Kweli wadada was mbinga,songea wanaenda jiuza mbeya, Hilo jimama hata silijui.Nakumbuka sana pisi za songea na mbinga zinaendajiuza mbeya na chunya halafu za mtwara, kilwa, lindi, iringa, njombe zinapishana mbinga, hivi mwanangu mmoja anaitwa dokela bado yupo? Jimama la mbinga na la mjini kwelikweli
Kweli kabisaKahawa, mahindi, uvuvi mbambabey, dhahabu ya kutoka msumbiji inayoingia kwa magendo pale ndio uchochoro, kiufupi mbinga ina biashara kuliko songea mjini sawa na ilivo masasi kibiashara kuliko mtwara au ilivo Kasulu kibiashara kuliko kigoma mjini, au kahama ilivo safi kwa biashara kuliko shinyanga,
Mjomba hujui mbinga ipo mkoa ngani?Hii chai umeogopa kuipa mkoa?
"Mwanamke kama hataki mwache aende zake". Alisikika Afande Sele.Mwanamke kama haeleweki ni haeleweki Ukiona unatumia nguvu kubwa sana kumpata yupo na mtu mwingine.
Wanawake wengi matapeli.
Mattercore yao.
Muhimu sana,yaani mwanaume mpaka unabadili dini kisa mwanamke,hivi heshima iko wapi hapo?Mwanamke kama haeleweki ni haeleweki Ukiona unatumia nguvu kubwa sana kumpata yupo na mtu mwingine.
Eee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ndo ututukane??!!
Na yeye huko alikokimbilia kabadili dini kumfuata mwanaume wake mpya.Ukute alibadili dini kumfuata mwanamke, halafu mwanamke akamkimbia kumfuata mwanaume aliye kwenye dini aliyotoka mume wake
Hii dhambi itamtafuna huyo binti, Karma itampa haki yake.Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Wazaramu wana wimbo unasema kamuacha mume wake kafuata mdundiko...ndiyo hii sasa.Na yeye huko alikokimbilia kabadili dini kumfuata mwanaume wake mpya.
Huyo kijana nae ni mjinga pro max unabadili vp dini kumfuata mwanamke?Wasalaam,
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Tukio limetokea,wilaya ya Mbinga,na harusi imefungwa tarehe 13/7/2023
Na bado hamjifunzi kupitia wenzenu[emoji2]Ndiyo hivyo,inasemekana anatumia nyota za wadada,akikudaka atakutumia ukiisha anakubwaga,coz mtaani hapa wapo aliotoka nao na walikuwa wanatamba balaa,lakini Sasa wapo tu hawana mauzo.
🤣🤣🤣🏃🏃Wasalaam,
Ni hivi kuna binti jirani alipata mchumba wa dini tofauti, na kijana alimpenda binti, kijana alibadili dini na ndoa ikafungwa.
Kumbe binti alikuwa na danga lake jibaba, danga likaenda nyumbani kwa wazazi wa binti na kuwaambia kuwa anamtaka mke wake na yupo tayari kurudisha gharama za harusi. Danga likaonyesha chatting za yeye na binti, binti anasema kuwa anampenda jibaba na kuhusu kuolewa alilazimishwa na mama take.
Kijana aliyemuoa binti hadi sasa yupo hospitali, inasemekana kachomwa sindano ya sumu na wasiojulikana, na binti kamtorka kijana.
Inauma kwasababu kijana kabadili hadi dini kumfuata mwanamke na kuambulia maumivu. Mtu ukijiona haupo tayari kuolewa ni bora ukakataa kuolewa.
Tukio limetokea,wilaya ya Mbinga,na harusi imefungwa tarehe 13/7/2023
TECNO