BungelaKatiba2014tz
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,231
- 648
Kutumbua ni kutumbua tu.Walau huu ndio utumbuaji wa kiutu uzima na kistaarabu na sio ule wa 'nitumbue nisitumbue'!
Kutumbua ni kutumbua tu.Walau huu ndio utumbuaji wa kiutu uzima na kistaarabu na sio ule wa 'nitumbue nisitumbue'!
Kwani huyu nae ilikuwaje Yamakagashi?Mhhhh kajiuzulu au ndiyo yale yale ya kina Othman Rashid ?
Hata Minja mwenyewe ulikuwa ukimuona usoni unajua kabisa anakwenda na majiHili lilitegemewa
Nadhani mzee baada ya maafao aliyaelekezs kufungua kiwanda cha uniformNdo uniform au kuna jingine?
Teh teh mimi sijui nilikuwa naota ,asante kwa kunishtua ndotoniKwani huyu nae ilikuwaje Yamakagashi?
Afadhali utumbuaji huuWalau huu ndio utumbuaji wa kiutu uzima na kistaarabu na sio ule wa 'nitumbue nisitumbue'!
Utamu ni kwamba KATEMBELEWA KAKUTWA MZIMA,HALAFU KAWAACHA YEYE ni ushindi wa kutosha. Akili ya mtu na utendaji na maarifa huwezi mpora.Mhh. Jamaa kajitoa mhanga huku anapenda kazi yake