Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Ndugu Kamilius Membe (Kachero Mbobezi) Tunakuomba upumzike usubiri 2025. Kwa hali ya sasa, kama kweli una dhamira ya kuleta mageuzi, inabidi umwachie Tundu Lissu apambane na Magufuli. Huyu ndio mtu pekee anayeweza kupambana na Magufuli na kumshinda.
Uking'ang'ania kugombea, utaoneka pandikizi huku unijua wazi kabisa hauwezi kushinda. Miaka hii mitano inakutosha kuzijua siasa sa upinzani na ugumu wake na watanzania watakuamini na hata kukupa kura. Kwa sasa utazigawa tu kura za upinzani.
Kumbuka haba na haba hujaza kibaba. Tunakuomba uende kusini uibomoe CCM huku kwingine utakuwa kama wakina Mbatia, Lowassa na Mrema.
Uking'ang'ania kugombea, utaoneka pandikizi huku unijua wazi kabisa hauwezi kushinda. Miaka hii mitano inakutosha kuzijua siasa sa upinzani na ugumu wake na watanzania watakuamini na hata kukupa kura. Kwa sasa utazigawa tu kura za upinzani.
Kumbuka haba na haba hujaza kibaba. Tunakuomba uende kusini uibomoe CCM huku kwingine utakuwa kama wakina Mbatia, Lowassa na Mrema.