Bajeti iliyopita Mh. Zitto kwa kauli yako ulitushawishi wananchi wa vijijini tusiandamane kupinga bei ya mafuta ya taa kwa madai kwamba fedha itakayopatikana itapeleka umeme vijijini, mbona hatujaona hata dalili wala sijakusikia ukizungumzia hilo?
Mafuta ya taa yalipandishwa bei yawe sawa na dizel na petrol ili wafanyabiashara wasichakachue na kuharibu magari ya waheshimiwa hasa pale msafara wa JK ulipowekewa mafuta yaliyochakachuliwa siku ile? Kipindi cha kampeni.
Bei ya mafuta ya taa ni mzigo sana kwetu sisi wa vijijini, hatuna mbadala; mbona mmethamini magari yenu kuliko utu wa watu waliowapa madaraka?
OMBI LANGU NI KWAMBA M4C ISIMAMIE JAMBO HILI MAANA TULISHAKATA TAMAA NA HII SERIKALI YA MASHANGINGI NA MATANUZI NDO MAANA SIJAMUULIZA HATA MBUNGE WANGU WA MLALO MWANAJESHI MSTAAFU, HASSANI NGWILIZI. YEYE ALISHASEMA HATAKI KUPAYUKA LJKN VITENDO PIA HATUONI.:boxing:
Mafuta ya taa yalipandishwa bei yawe sawa na dizel na petrol ili wafanyabiashara wasichakachue na kuharibu magari ya waheshimiwa hasa pale msafara wa JK ulipowekewa mafuta yaliyochakachuliwa siku ile? Kipindi cha kampeni.
Bei ya mafuta ya taa ni mzigo sana kwetu sisi wa vijijini, hatuna mbadala; mbona mmethamini magari yenu kuliko utu wa watu waliowapa madaraka?
OMBI LANGU NI KWAMBA M4C ISIMAMIE JAMBO HILI MAANA TULISHAKATA TAMAA NA HII SERIKALI YA MASHANGINGI NA MATANUZI NDO MAANA SIJAMUULIZA HATA MBUNGE WANGU WA MLALO MWANAJESHI MSTAAFU, HASSANI NGWILIZI. YEYE ALISHASEMA HATAKI KUPAYUKA LJKN VITENDO PIA HATUONI.:boxing: