Mkuu BAK, nakushukuru kuanza kuukubali ukweli mchungu!. Kwa vile Tanzania ni nchi ya wala rushwa, inamaa kiongozi bora wa nchi yetu ni yule anayejua kutumia vizuri hii rushwa na bingwa wa matumizi ya fedha anafahamika!. Nawaombeni sana, tuipuuzie kabisa ile kauli ya Baba wa Taifa kuhusu hawa watu wa "kuogopwa kama ukoma". Sasa ndio tuwapende kama mboni za macho yetu!.
Na maadamu Tanzania tumekubali kuwa ni nchi ya ufisadi!, then, kiongozi bora wa taifa hili, shurti awe pia ni bingwa wa ufisadi!, hivyo kuelekea 2015, Watanzania watanchagua kiongozi mwenye ubora wa vigezo hivyo!, wewe jiulize jee mgombea wako anavyo vigezo vya kuchagulika?.
Kama CCM ilipiga vuvuzela la kuchafuliwa na mapacha watatu!, kwa ni nini wasingeweka vigezo ile kuchafuliwa tuu, ni sababu tosha ya kutothubutu hata kuomba fomu ya kugombea, achilia kuijaza, kuirejesha, kupitishwa bila kupingwa na sasa ntu kama Chenge anasubiri tuu kutangazwa rasmi ndie mjumbe wa NEC!.
2015 ni CCM Tena!.
P.
Acha aje huku sakafuni anafikiri urais ni uleigwanani?
kabisa. wao ccm si wanajifanya nchi ni ya kwao sasa wasubiri 2015 tutakapo waonesha watanzania tunataka nini kwa maendeleo yetu.
Mmmhh! Hata mimi sichelewi kusema lowassa is a next president, hapa ndipo nisipowaelewa watanganyika, maneno mengi vitendo hakuna. Pamoja na kashfa zote za rushwa za lowassa, lakini kila anapopita anashangiliwa kwa nguvu na anashinga kwa kasi, watu hao hao ndio wanalamika kuwa lowassa ni fisadi, akitokea lowassa mbele yao wanamshangilia na kumsujudu.kwa kasi hii lowassa ni rais 2015. Je watanganyika tumelogwa na nani aliyetuloga?
kwa bahati nzuri nilishushiwa hizo ndoto mapema kuwa the next prezda ni lowasa ndo mana kwa sasa siumizi kichwa,.kuna mkuu hapo anahoji ushndi wa lowasa arusha kuwa ni wa kiduchu vp liwale? ni jikumu lake kufanya tafti kwa msaada tu ni kuwa awana mdogo aliempiga chini chikawe ni mtu wa edo damdam,pili alieshnd mkt uvccm lindi ni wa edo damdam kwa hayo unasemaje?
Hawa ndio journalists wetu TZ ambao wanatakiwa wafanye kazi kubwa ya kutoa taarifa sahihi za rushwa na uovu wote wa watawala na mafisadi. Tunategemea washiriki katika kutoa elimu ya uraia ili watanzania wakaeliewa ni koingozi gani anayefaa. They are sometimes regarded as muhimili wa 4 usio rasmi. We need to get rid of these kanjanjas wa vibahasha ili ukombozi wa mtanzania upatikane.Mkuu BAK, nakushukuru kuanza kuukubali ukweli mchungu!. Kwa vile Tanzania ni nchi ya wala rushwa, inamaa kiongozi bora wa nchi yetu ni yule anayejua kutumia vizuri hii rushwa na bingwa wa matumizi ya fedha anafahamika!. Nawaombeni sana, tuipuuzie kabisa ile kauli ya Baba wa Taifa kuhusu hawa watu wa "kuogopwa kama ukoma". Sasa ndio tuwapende kama mboni za macho yetu!.
Na maadamu Tanzania tumekubali kuwa ni nchi ya ufisadi!, then, kiongozi bora wa taifa hili, shurti awe pia ni bingwa wa
ufisadi!, hivyo kuelekea 2015, Watanzania watanchagua kiongozi mwenye ubora wa vigezo hivyo!, wewe jiulize jee mgombea wako anavyo vigezo vya kuchagulika?.
Kama CCM ilipiga vuvuzela la kuchafuliwa na mapacha watatu!, kwa ni nini wasingeweka vigezo ile kuchafuliwa tuu, ni sababu tosha ya kutothubutu hata kuomba fomu ya kugombea, achilia kuijaza, kuirejesha, kupitishwa bila kupingwa na sasa ntu kama Chenge anasubiri tuu kutangazwa rasmi ndie mjumbe wa NEC!.
2015 ni CCM Tena!.
P.
BAK wengi wetu hatutaki kukiri kwamba rushwa nchini mwetu imefikia kiwango cha kijamii na kimfumo. Tatizo tunafikiri kwamba rushwa za wengine ndiyo rushwa za kwetu "tunasaidiana" Unafiki huu utampa Lowassa nchi!!Fisadi Lowassa nani ataweza kumshika wakati nchi yote inanuka rushwa!? Nchi ingekuwa na utawala bora huyu hata asingethubutu kutamka kama anataka kugombea ubalozi wa nyumba kumi kumi!!! achilia mbali kutaka kuwa Rais.
BAK wengi wetu hatutaki kukiri kwamba rushwa nchini mwetu imefikia kiwango cha kijamii na kimfumo. Tatizo tunafikiri kwamba rushwa za wengine ndiyo rushwa za kwetu "tunasaidiana" Unafiki huu utampa Lowassa nchi!!