Kambi ya Lowassa vs Sitta zimeungana?

Kambi ya Lowassa vs Sitta zimeungana?

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
wadau!
Sasa nimeamini aliyesemaga siasa ni mchezo mchafu hakukosea,
wengi wetu mliona matukio ya jana bungeni samweli sitta amekuwa akienda na kumpa mh lowassa mkono na kumkumbatia,kama mnavyojuwa jambo hili si la kawaida kwani kambi hiz mbili zimekuwa zikisiginana kila kukicha,sasa tunajiuliza hiz kambi ndio tayari zimeungna au mchezo mchafu umechezwa hapa!!
Nimebaki njia panda cielewi mwelekeo!!pasco nipe mwongozo kwa hili
 
ulishaambiwa siasa haina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu........kwahy yote yawezekana
 
paka awa rafiki wa panya kwa mara ya kwanza, sitta na lowassa wote hawafai waungane wagombane hakuna tunalotaraji kutoka kwao
 
paka awa rafiki wa panya kwa mara ya kwanza, sitta na lowassa wote hawafai waungane wagombane hakuna tunalotaraji kutoka kwao

nyie ndio wale wa division five
ulichoulizwa ci hichi ulichoandka hapa!
 
ccm chama kubwa,huwezi linganisha na ile saccos ya joyce mukya na mbowe!na bado mtaona mengi zaid ya hayo
 
Mgombea yeyote ndani ya ccm wa urais mwaka 2015 hatufai! Wezi ni wezi tu!
 
Back
Top Bottom