Kambaya: CCM inaendeshwa kwa mawazo ya Kardinali Pengo

Kwa hiyo CCM ni chama cha kidini kinaongozwa na wakatoliki au nakosea

Hujakosea mkuu, ni sahihi kabisa. Kinajitahidi kujivua lakini mizizi aliyoiweka Julius Kambarage Nyerere ni ya nguvu sana. Itachukua muda kujivua huko na pengine haitawezekana.

Mbinu kuu ya Kanisa Katoliki ya kuitisha CCM pale ilipojidai kujitoa huko, ni pale Kanisa lilipoanzisha CHAMA KINGINE CHA KIKRISTO kwa jina na "CHADEMA au CDM kama ukipenda."

Kwa wale wake wenza wanajua nini kitatokea hapo, ni kujipeleka peleka kwa mume tu kila kukicha.
Mume- Kanisa katoliki
Bi mkubwa- CCM.
Bi mdogo- CHADEMA a.k.a CDM.
 
Mkurugenzi wa habari, uenezi na haki za binadamu wa chama cha wananchi (CUF). Amekinanga chama cha mapinduzi kuwa kinaongozwa kwa mawazo mgando na nguvu za viongozi wa dini....

Kambaya aliyasema hayo kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya magomeni katika viwanja vya shule ya msingi majengo, Bagamoyo.... Alisema:
"CCM inaongozwa na mawazo ya Nyerere ambayo kila mmoja anajua yanatoka wapi... Mpaka sasa kiongozi wa dini mwenye ujasiri wa kutetea haya ni Kardinali Pengo - ambaye bila kupepesa macho amesema anataka serikali 2... Haya ni mawazo ya kanisa katoliki..." Haya ndiyo mawazo yanayoongoza CCM...

Aliendelea:
"Chama Chetu (CUF) kinapendekeza serikali tatu, tofauti na vyama vingine visivyo na msimamo.. Kipo chama kimoja kinaibuka na serikali za majimbo na muda mwingine serikali tatu... Hiki si cha kukiamini." Akangeukia Nape ambaye siku moja kabla alizindua kampeni za CCM na kuishambulia CUF bila staha... akimsema maalimu Seif njaa imempeleka kwenye serikali ya mseto.

Alisema:
"Nape si mtoto wa mzee Moses au Musa Nnauye... Kwenye orodha ya watoto wa mzee MuSa NNauye hayumo na tena hatambuliki.
Naibu katibu mkuu (BARA) Julius Mtatiro aliizungumzia wilaya ya Bagamoyo kulemewa na walaji... Pesa zinaibiwa na kuliwa utadhani hii si wilaya anakotoka mkuu wa nchi. Alitoa vielelezo vingi na kushitua wakazi wa Bagamoyo.

Source:
Mimi mwenyewe nilikuwepo.

Badala ya kueleza sera za chama chako unaeleza mambo binafsi ya Nape. yatawasaidia nini Wananchi wa Magomeni
 
Tuseme nikweli Nape si mtoto wa mzee Moses/Musa Nnauye.... kwahiyo watu wa bagamoyo/watanzania wa/tufanyeje kuhusu hili?
 
Simshangai kambaya maana haya ni mawazo ya waislamu wengi kuwa nchi hii inaongozwa na Pengo. Nilishamsikia professor na PhD mwingine akisema kabisa nchi hii haipati maendeleo kwakuwa inaongozwa na Pengo
 
Kwa mawazo ya CUF, sawa. Ila kwa mawazo ya CHADEMA ni kuwa CCM ni chama cha waislam. Kutokana na mkanganyiko huo, ni wazi kuwa CCM ni chama cha kika mmoja wetu
Do you have a brain on the thing you are carrying up there?

Noti.
 
Hujakosea mkuu, ni sahihi kabisa. Kinajitahidi kujivua lakini mizizi aliyoiweka Julius Kambarage Nyerere ni ya nguvu sana. Itachukua muda kujivua huko na pengine haitawezekana.

Mbinu kuu ya Kanisa Katoliki ya kuitisha CCM pale ilipojidai kujitoa huko, ni pale Kanisa lilipoanzisha CHAMA KINGINE CHA KIKRISTO kwa jina na "CHADEMA au CDM kama ukipenda."

Kwa wale wake wenza wanajua nini kitatokea hapo, ni kujipeleka peleka kwa mume tu kila kukicha.
Mume- Kanisa katoliki
Bi mkubwa- CCM.
Bi mdogo- CHADEMA a.k.a CDM.

Jana usiku inaelekea hakusuguliwa ipasavyo kwahiyo umeamka na wenge..
 
Simshangai kambaya maana haya ni mawazo ya waislamu wengi kuwa nchi hii inaongozwa na Pengo. Nilishamsikia professor na PhD mwingine akisema kabisa nchi hii haipati maendeleo kwakuwa inaongozwa na Pengo

Kuna mambo kadhaa hapa:-
1. JK anajisikiaje kuwa haongozi nchi bali Pengo ndiye
2. Ni wakati gani tunaweza kutofautisha 'identities' tulizonazo? Mfano uislamu na ufuasi wa cuf vinaenda sambamba kwa Kambaya? au Pengo na Kanisa Katoliki mara zote huenda sambamba?
3. Chama chake kinaamini katika haki sawa. Je, Pengo kama raia yeyote hana haki
ya kutoa maoni yake bila kushambuliwa yeye, asili yake au taasisi anayotoka?
4. Je, anaijua 'structure' na 'protocol' ya kanisa la RC nchini. Je, ni Pengo ndiye kiongozi mkuu? Na, je nini msimamo wa kanisa kuhusu katiba na aina ya serikali?
5. Asili au ukweli kuhusu baba mzazi wa Nape kuna uhusiano gani na hoja za Nape? Na, je, yeye Kambaya anajuaje kama anayemuita babaye ni kweli baba mzazi halisi na si alibambikiwa?
6. Chama cha CUF kina wanachama wakatoliki wanajisikiaje kushutumiwa kuwa ama wao au taasisi ya dini yao au viongozi wao wanawakandamiza sehemu au kundi la watanzania?
 
Tatizo la jamaa awa wafuga majini wana matatizo kitendo cha kusema Nchi inaendeshwa mfumo kristu alafu mkaendelea kuomba serikali iyo ili kujiunga na OIC uwa siwaelewi eti hamuwezi pata misaada kama nyie waharabu wanawatambua kwa nini wasiwape misaada bila masharti. Mufti mkuu nyie ndo mnamchagua badae unasikia eti kawekwa na serikali amnazo nyie
 
Kambaya alikuwa mkuu wa wauza sokoni mazo na dalali wa mazao ya wakulima paleTANDALE; sasa hapo unaweza ukaelewa Mwenezi ambaye CUF wanaye. Siku zote huwa nasema kwa hapo Cuf walibugi men
 
cuf wadini sana,pengo hawezi kuongea juu ya serikali mbili kuwakilisha dini,yale ni mawazo yake binafsi kama mtanzania,msitugawe kwa udini,wanasiasa makanjanja.
 
Hawa si wakujibishana nao MAKATONTA, likisemwa kanisa kuhusu CCM wanakasirika, wengi wa wafuasi wa Chadema ni wanachama wa CCM, wapo Chadema kwa sababu tu chuki za udini ya kumchukia kikwete kwa kuwa ni MUISLAM lakini 2015 wakiwekewa mkatoliki watarudi CCM

Kaka hapo umepigilia msumari wa moto...
 
Back
Top Bottom