Kamati za ulinzi mikoani zisihusishe vyombo vya ulinzi na usalama

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,110
18,328
Kutokana na matumizi mabaya ya vyombo vya ulinzi na usalama na chama cha mapinduzi.. kuna haja ya kupeleka mswada Bungeni ili Kamati za ulinzi na usalama ziundwe na vyombo vya ulinzi na usalama tuu.

Kwa maana ya
1. JWTZ
2. Police
3. Magereza
4. Uhamiaji
5.Tiss
6. Mgambo

Ili wote wanao weka nchi kwenye wasiwasi wa usalama wakamatwe kwa mujibu wa sheria.

Hawa wakuu wa mikoa , wabakie kuwa wenyeviti wa ccm na wasilipwe na serikali.
 
Huyo atakayekuwa mwenyekiti ndiye atapewa amri na mwenyekiti wa chama tawala kuwashughurikia wapinzani.

Tuwe na katiba inayopunguza nusu ya mamlaka ya rais.
 
ukimsikilixa Dr.Bashiru KM unapata picha haiwezekani kutenganisha hizo nafasi

na ikitokea ccm directly inaenda kuungana na UNIP na KANU
 
Kutokana na matumizi mabaya ya vyombo vya ulinzi na usalama na chama cha mapinduzi.. kuna haja ya kupeleka mswada Bungeni ili Kamati za ulinzi na usalama ziundwe na vyombo vya ulinzi na usalama tuu.

Kwa maana ya
1. JWTZ
2. Police
3. Magereza
4. Uhamiaji
5.Tiss
6. Mgambo

Ili wote wanao weka nchi kwenye wasiwasi wa usalama wakamatwe kwa mujibu wa sheria.

Hawa wakuu wa mikoa , wabakie kuwa wenyeviti wa ccm na wasilipwe na serikali.
Ni vingumu kwa nchi za Afrika kutenganisha chama kilichopo madarakani na vyombo vya usalama kwani vyama hivyo vinawekeza kwa sehemu kubwa katika vyombo vya Dola ikiwemo kuteua watakaokidhi matakwa yao. MAPITIO ya katiba kwa Tume huru inaweza kusaidia vinginevyo tutaendelea kuteseka
 
Ulichoandika ni ukosefu wa uelewa wa jumla tu wa elimu ya siasa.

Kwanza, mkuu wa mkoa/wilaya si mwenyekiti wa CCM kwa ngazi yoyote ile kwa serikali ila kama itatokea itatokea hivyo mkuu wa mkoa/wilaya akawa pia ni mwenyekiti wa CCM mkoa/wilaya basi atakuwa chini ya CCM.
 
Back
Top Bottom