Kamati za Bunge

Anahudumu kama mwenyekiti au mjumbe?
 
Why unamsifia Zitto tu kwani kamati hiyo haina wajumbe wengine?Maana Zitto si kiongozi wa kamati ni Mjumbe wa kamati,sasa hapo kuna la ajabu kweli?kila mbunge lazima awe mjumbe wa kamati husika
 
Teeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh mnaliwazana machungu? Yeye alitaka uenyekiti wa pac
 
Matawi ya juu ya mchikichi, teeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh
 
Hakika!!
Na hii kamati kwa ninavyomjua zitto ni lazima itajulikana sana hata kuvuma pia!

Mana ni kama mtoto wa haramu hata akifungiwa kwenye chupa ni lazima atatoa kidole ili mradi tu ajulikane
Yeye alitaka uwenyekiti wa pac, teeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeh
Cc mcubic
 
Kijana hzo ni chuki zako binafsi,ukizungumzia siasa za Tz ukasahau kumtupiamo Zitto zuberi Kabwe Ruyagwa KIGOMA,ujue huna weledi juu ya maswala ya Siasa za Tz!!!
Kwa .namna ulivyotumia neno 'weledi' siyo mahali pake.
 
Kikwete angekuwepo lazima Zitto angepewa PAC sijui walikuwa na siri gani.
 
Usaliti wake ni upi?kuutaka uwenyekiti wa CHADEMA ? acheni kufuata upepo bana
Ni msaliti tatizo wewe huelewi maana ya usaliti. Usaliti ni kwenda kinyume na mwelekeo uliokubaliwa. Zito anataka mwelekeo wake au ule unaoongozwa toka CCM
 
Hivi kabla ya zitto kuhudumu kamati ya PAC ilikua inaongozwa na nani? Na je ilikua inajulikana kwa kiasi gani?

Nauliza wadau
 
haki elimu wajiandae kutoa mkopo kwa lekadutigite!!
 
Kisiaza Zitto kapigwa kumbo kubwa sana maana kamati aliyokwenda sio kamati ya kuonekana mbele za umma sana yaani sio kamati ya runinga
 
PAC anapewa Kubenea kutoka na elimu yake nadhani anafaa kuongoza hiyo kamati.
 
Hakika!!
Na hii kamati kwa ninavyomjua zitto ni lazima itajulikana sana hata kuvuma pia!

Mana ni kama mtoto wa haramu hata akifungiwa kwenye chupa ni lazima atatoa kidole ili mradi tu ajulikane
Mkuu hata kama unamchukia Zitto tumia lugha za kiungwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…