Hii ni kweli kabisa Mkuu. Kagasheki alijihuzuru kwa heshima na taadhima ingawa binafsi hakuhusika.Kwani haya Majizi yalijiapiza kuwa watawala daima? Kama ni sherehe na zawadi watapewa na kupokelewa kwa shangwe kama picha alizoweka Mpwa wangu Chakaza