Kamati ya Maridhiano Yagonga Mwamba

Kamati ya Maridhiano Yagonga Mwamba

Kwani haya Majizi yalijiapiza kuwa watawala daima? Kama ni sherehe na zawadi watapewa na kupokelewa kwa shangwe kama picha alizoweka Mpwa wangu Chakaza
Hii ni kweli kabisa Mkuu. Kagasheki alijihuzuru kwa heshima na taadhima ingawa binafsi hakuhusika.
 
Eti watoke Nje ndio watakuwa wamefanya nini wakae tuone had I mwisho wake wataamua nini
 
Natamani hili sakata lijulikane na watu wote ili mwenye 'akili' afanye maamuzi mazuri mwakani. Hatuwezi kuwa na viongozi wachafu kiasi hiki.

Eli79 kwa kitendo cha jana makinda kuonyesha upendeleo wa wazi leo nimeenda jiandikisha na kumshawishi my wife naye amejiandikisha...sie hatuna chama lakini kwa hili limetushawishi kuipa ukawa kura ngazi zote za uchanguzi...pia tuthamasisha ndugu zetu kufanya hivyo...

Ccm umelewa madaraka, yaani mwizi anajipangia adhahabu kweli hii ni tz only
 
Natamani hili sakata lijulikane na watu wote ili mwenye 'akili' afanye maamuzi mazuri mwakani. Hatuwezi kuwa na viongozi wachafu kiasi hiki.

Eli79 kwa kitendo cha jana makinda kuonyesha upendeleo wa wazi leo nimeenda jiandikisha na kumshawishi my wife naye amejiandikisha...sie hatuna chama lakini kwa hili limetushawishi kuipa ukawa kura ngazi zote za uchanguzi...pia tutahamasisha ndugu zetu kufanya hivyo...

Ccm umelewa madaraka, yaani mwizi anajipangia adhahabu kweli hii ni tz only
 
Hayo ni mawazo ya akili.ndogo. Muhongo haondoki.

Sijui nijibu nini? NASHAURI TU TUMWOMBE ROHO MTAKATIFU ATUONGOZE WOTE KWENYE MAPENZI YA MUNGU WETU ALIYE MKUU.

Nchi yetu inategemea kwa kiasi kikubwa misaada ya nje. Nchi yetu ni tajiri yenye utajiri mkubwa ulio mikononi mwa wageni na wachache wasio wazalendo au pendo na nchi hii. Ndio maana tupo kwenye dimbi la ufukara, watoto wa mitaani hadi kuibuka kwa kundi la mbwa mwitu ..., wagonjwa ni wengi sana, wazee ndio wamesahaulika. Elimu ndio hiyo tena. Kama ni kweli kwa mtu mmoja kumiliki mabilion????? na kukiri ni kweli wanayamiliki ... wakati nchi ipo kwenye hali hii????. Wastaafu ndio tumesahaulika kabisa????

MUNGU YUPO, MUNGU NDIO MTETEZI WETU. NAAMINI HADI SASA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KWA UKOSEFU WA FEDHA WANAENDELEA KUONGEZEKA
 
Ni Tanzania tu ambapo utaahira kama huu unafanyika. Watu wameiba halafu wanataka maridhiano!!!!!!!!
 
we jisenge ni hang over za weekend nini?
Zitto ataendelea kuwepo bila hata ya chadema. kama wewe upo kwa sababu ya uwepo wa chadema ni wewe. chadema yenyewe imejaa wavuta bangi kama nyie akina godless lema, sugu na wapuuzi wemgine mnamchango gani bungeni na nje ya bunge zaidi ya fujo tu? ukimtoa Lisu, na slaa wa kipindi hicho nani wa kumlinganisha na Zitto Chadema? nisome vizuri wewe kinyesi;
''''''''''''''Zitto is there to stay'''''''''''''''''''''''''''.

Yahaa Kweli Kwa Jana alionyesha Hisia za Ndani sana, LAKINI ili wamludishe Mwana mpotevu kundini ITABIDI TOBA KUBWA SANA.....TENA KWA IMAM NA WAZEE WA CDM.

Kwa hisia ya Jana kweli ni Mwanampotevu....bila CDM hakuna Zitto ...ila bila Zitto kuna CDM.

CDM Mpeni nafasi ila kwa viapo kwa IMAM akiwa na msahafu mbele ya wazee wa CDM...japo amuenzi Mama yake ambae inasemekana ndie aliyemwingiza Zitto CDM.

Ila KIAPO NA TOBA ni muhimu ili asije fanya dhambi kwa chama chake...
 
Back
Top Bottom