troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,446
- 2,286
Nimesikiliza kamati ikitoa mapendekezo kwa maaana ya maazimio ya bunge hawa mawaziri hawamsaidii Rais Samia, changamoto ni nyingi sana ndani ya wizara zao kuliko successions.
Wapigwe chini tupate watu wenye kasi zaidi na weledi, hawa kazi zao ni kusema mama anaupiga mwingi,iweje awe anaupiga mwingi kamati ya section zao zijae changamoto nyingi kiasi hicho?
Hawafai
Wapigwe chini tupate watu wenye kasi zaidi na weledi, hawa kazi zao ni kusema mama anaupiga mwingi,iweje awe anaupiga mwingi kamati ya section zao zijae changamoto nyingi kiasi hicho?
Hawafai