Akiwaambia alipeleka malalamiko posho na stahili zake za Uwaziri Mkuu zilikuwa hazijaingia kwa mwezi uliopita mtamfanyaje....Ni nafasi nzuri kwa EL kueleza yaliyo ongelewa ikulu na kamati kuu kufanya maamuzi sahihi kama inabidi. Swali kuu likiwa "Je mazungumzo yale yanasaidiaje ufanyaji siasa wa CDM na upinzani kwa ujumla au EL alikwenda na yake?"
Nitakalo kujua ni kama kuna alilozungumza na raisi ambalo linaweza kuja kusaidia siasa za upinzani au alikuwa na ya kwakwe tu? Sitaki kuamini kwamba yale tuliyo yaona na kuyasikia kwenye clip ndo hayo tu na hakuna mengine kutoka kwa kinara mmoja wapo wa upinzani aliepata nafasi ya kuongea na raisi. Kwangu mimi mkutano wa CDM kamati kuu ambako EL ni mwanakamati ni muhimu kwani EL atafafanua.Shida sio mazungumzo shida yeye kuisifia serikali ya Magu akijua kuna mengi yanaendelea nchini ndivyo sivyo sivyo ndivyo. Amesubiri Lissu ameondoka nchini yeye ndio akagongelee msumari. In other words ' he did stab T Lissu in the back'
Hafai Period!
isije kuwa hoja kwa bulletsChadema imepoteza mwelekeo.
Ijitafakari na kufanya mabadiriko makubwa ya kiuongozi na kiutendaji.
Mfano. Nafasi ya katibu mkuu imepwaya, mwenyekiti ajiangalie kiutendaji na pia kinapaswa kupunguza mihemko na kujikita kujenga hoja za maana.
Kwanza mimi siko huko, nitakacho ni kuwa na upinzani wenye nguvu na imara haijalishi kama ni chama gani. Pili sitarajii kiongozi wa upinzani apate nafasi adimu ya kwenda kuzungumza na raisi aishie kulalamikia posho na stahiki zake nyingine. Mtu wa namna hiyo hafai kuwa kiongozi wa upinzani nionavyo mimi. Sina la kufanya zaidi ya kuamua kura yangu niipeleke wapi.Akiwaambia alipeleka malalamiko posho na stahili zake za Uwaziri Mkuu zilikuwa hazijaingia kwa mwezi uliopita mtamfanyaje....
Wafukuze lowasa wadaiwe hela zake nabushahid u shahid upo kwa bordgurd wakeKamati kuu ya chama pendwa CHADEMA, inatarajiwa kukutana kwa dharura siku ya Jumamosi Tarehe 13.01.2018. Mtoa taarifa hajaeleza kwa kina agenda za kikao hicho cha siku moja zitakuwa zipi.
Pole sana,Kwanza mimi siko huko, nitakacho ni kuwa na upinzani wenye nguvu na imara haijalishi kama ni chama gani. Pili sitarajii kiongozi wa upinzani apate nafasi adimu ya kwenda kuzungumza na raisi aishie kulalamikia posho na stahiki zake nyingine. Mtu wa namna hiyo hafai kuwa kiongozi wa upinzani nionavyo mimi. Sina la kufanya zaidi ya kuamua kura yangu niipeleke wapi.
Kamati kuu ya chama pendwa CHADEMA, inatarajiwa kukutana kwa dharura siku ya Jumamosi Tarehe 13.01.2018. Mtoa taarifa hajaeleza kwa kina agenda za kikao hicho cha siku moja zitakuwa zipi.
Hapa siangalii ufisadi au vinginevyo kuhusu Lowasa ninachosema mimi kama yeye ni kiongozi "mkuu" CDM na akapata nafasi ya kuongea na raisi-amesogezaje ajenda ya chama chake mbele? Kama ameshindwa kufanya hivyo basi chama kitaamua.Pole sana,
Ebu tuambizane kidogo,hivi uliamini na bado unaendelea kuamini kuwa Lowasa ni mpinzani kweli ..... !
Lowasa baada ya kukatwa alijua alishapoteza lakini waliosababisha apoteze ni Chadema na ccm,kwa upande wa ccm akaona asiendelee kutunishiana nao misuli.
Kwa vile Chadema walizunguka nchi nzima wakimtangaza kuwa ni fisadi aliamua kuwatumia haohao ili wamsafishe hadi atakate na kwa kujua ni waroho,mbele ya pesa hawachomoi. Kweli hayawi yakawa,Lowasa akapokelewa usiku na asubuhi akatangazwa mgombea kupitia ukawa. Welevu walisusa kimyakimya,wajinga tukapaza sauti lakini pesa isikie tu kwa mwenzio, nani angeamini kwamba Lisu,Mbowe,Lema,Msigwa na Sugu kuna siku wangemuona Lowasa ni mfalme...! Hakuna kitu kilikuwa kikiniudhi kama kuwaona wakimnadi Lowasa kwamba mchapakazi na mwàdilifu,sikutaka tena maishani mwangu kuwa mwanachadema hadi pale Lowasa atakapoondoka.
Na Mpaka sasa suala la kusafishwa kwenye ufisadi kupitia Chadema limefanikiwa kwa 100% na kilichobaki atatangaza kustaafu siasa huko huko japo hajawahi kuwa mwenzenu.
Enzi hizo twitter na Whatsapp zilikuwepo?CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Ajadiliwe na hatua stahiki zichukuliwe dhidi yake Mkuu..Lazima lowassa ajadiliwe kwa kitendo chake cha kuisifia hii Serikali inayokandamiza haki za binadamu
Ni vizuri wasiende kumlaumu Lowassa hapo kwa kukutana kwake na Rais. Chama kimeshindwa kufanya juhudi zozote za kukutana na Rais kufanya dialogue ya aina yoyote kumpongeza au kuwasilisha malalamiko/mapendekezo yao kama yapo. Katika hali ngumu ya kushindwa kuonana na Rais kama kikundi/chama hakukuwa na namna nyingine kwa Mh. Lowassa kutafuta mbinu mbadala ya kukutana na Mh. Rais kama alivyofanya. Akapongezwe badala ya kulaumiwa.Kamati kuu ya chama pendwa CHADEMA, inatarajiwa kukutana kwa dharura siku ya Jumamosi Tarehe 13.01.2018. Mtoa taarifa hajaeleza kwa kina agenda za kikao hicho cha siku moja zitakuwa zipi.
Abaki kufanya nini?Kama mlikuja nae muondoke nae kurudi aliko toka.Mambo ni mazuri ndani ya CHADEMA na Lowassa bado atabaki ndani ya CHADEMA.