hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Ikumbukwe kuwa chadema ina makao makuu pale mitaa ya ufipa na chama kinatumia zaidi ya milioni 30 kwa mwezi kama kodi ya pango kwenye nyumba hiyo.
Pamoja na kwamba makao makuu ya chama yapo ,lakini kamati kuu ya chadema wamekuwa na tabia ya kufanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii zinazogharimu mamilioni ya dola!
Kuna taarifa kuwa hoteli wanayofanyia kikao chadema inagharimu zaidi ya dola 200 kwa saa!! Haya ni matumizi ya hovyo ya ruzuku ya chama ikizingatiwa ruzuku haitumwi mikoani na wilayani kwa kisingizio kuwa ni ndogo!!
Chadema wakiwa wanatumbua hovyo ruzuku ya chama kwa upande wa ccm wamebadilika kabisa. Ccm ambao wamekuwa wakituhumiwa kwa ufisadi lakini sasa vikao vyao wanafanyia kwenye viwanja vya ikulu au pale ofisi ndogo ya Lumumba ili kuokoa fedha za ruzuku ambazo zinatumwa mikoani na wilayani kwenda kujenga chama..
Inaumiza mno chadema tuliyoitegemea iwe mbadala wa ccm, kufanya ufisadi wa kutisha kuliko hata hiyo ccm!!.
ccm inafanyia vikao vyao makao makuu yake?