Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Mbona naskia na Nchimbi aliomba unaibu ila media zilikosea kumtangaza.
Mpaka zoezi linaisha alikuwa amerudisha Zungu tu..Baadae utaratibu ulibadilishwa na muda wa kuchukua fomu ukaongezwa Chifu..