mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Mpaka sasa sijakuelewa kuwa wewe ni kuku au ni bata tembea yako haona muelekeo kamili
Bata mzinga hajui kutofautisha.
Mpaka sasa sijakuelewa kuwa wewe ni kuku au ni bata tembea yako haona muelekeo kamili
Hawa nao wana jambo gani la maana la kujadili na hicho kijisaccoss chao?
Wakuwekee wewe kama nani? nyankundoooo
Ajenda ni kujadili maendeleo mkoa wa Kilimanjaro
mkuu tunakutegemea sana , usituache solemba tu .Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo inakutana leo jijini Dar es Salaam.
Agenda mbalimbali zinatarajiwa kujadiliwa na tunawaahidi kuwaletea yote yatakayoamuliwa ikizingatiwa yale yaliyotokea katika Bunge Dodoma na uchaguzi mkuu unaokaribia.
Stay Tuned!
Vyema Sana, Kamati Kuu tunasubiri maamuzi yenu, sio ya wezi waliobaki Dodoma
Wachaga wanajadili saccos yao
Mpaka sasa hivi saa 11 jioni kwa saa za Africa Mashariki toka saa 3 asubuhi bado hawajamaliza kikao kitu gani cha maana wanachoongea maandamano.
Nakerwa sana na tabia ya kususia vikao sjui tuliwachaguwa kukimbia vikao au kutusemea wananchi, ni wapaze sauti kuliko ili tuwasikie kuliko kukimbia kimbia kila siku.