Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo inakutana leo jijini Dar es Salaam.
Agenda mbalimbali zinatarajiwa kujadiliwa na tunawaahidi kuwaletea yote yatakayoamuliwa ikizingatiwa yale yaliyotokea katika Bunge Dodoma na uchaguzi mkuu unaokaribia.
Stay Tuned!
Agenda mbalimbali zinatarajiwa kujadiliwa na tunawaahidi kuwaletea yote yatakayoamuliwa ikizingatiwa yale yaliyotokea katika Bunge Dodoma na uchaguzi mkuu unaokaribia.
Stay Tuned!