Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,085
- 1,082
Mashamba yanapatikana Kijiji cha MwanzoMgumu, Kisarawe. Yapo ya ukubwa wa ekari 5, ekari 10 na la ekari 100.
Yapo mpakani mwa wilaya ya Kisarawe na wilaya ya Mkuranga karibu na mto mbezi. Yana hati ya kimila na maji yapo mengi sana chini ya ardhi kama utachimba kisima.
Mazao yanayostawi ni mpunga, mahindi, ufuta, mananasi, vitunguu, nyanya na aina zote za mboga, mihogo, viazi, mapapai, miembe, michungwa, migomba, minazi, alizeti, mtama, matikiti maji, mapesheni n.k. Maeneo yana rutuba nyingi sana, kuna maeneo hayajawahi kulimwa tangu kuumbwa kwa dunia.
Soko kubwa la mazao ni soko la Chanika, soko la Buguruni na wafanyabiashara hufuata mazao shambani.Eneo hili linapata mvua mara mbili kwa mwaka, mvua za vuli na mvua za masika, sasa hivi wakulima wanaandaa mashamba kwa ajili ya kilimo cha vuli. Barabara zinapitika kipindi chote cha mwaka na usafiri upo wa daladala, pikipiki na Noah. Matrekta ya kulima yanapatikana kijijini.
Eka moja inauzwa kwa shilingi milioni mbili tu, mazungumzo yapo kutengemea na eneo.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa simu : 0714 526 057 na 0762 931 237
Karibuni ajira zipo mashambani.
Yapo mpakani mwa wilaya ya Kisarawe na wilaya ya Mkuranga karibu na mto mbezi. Yana hati ya kimila na maji yapo mengi sana chini ya ardhi kama utachimba kisima.
Mazao yanayostawi ni mpunga, mahindi, ufuta, mananasi, vitunguu, nyanya na aina zote za mboga, mihogo, viazi, mapapai, miembe, michungwa, migomba, minazi, alizeti, mtama, matikiti maji, mapesheni n.k. Maeneo yana rutuba nyingi sana, kuna maeneo hayajawahi kulimwa tangu kuumbwa kwa dunia.
Soko kubwa la mazao ni soko la Chanika, soko la Buguruni na wafanyabiashara hufuata mazao shambani.Eneo hili linapata mvua mara mbili kwa mwaka, mvua za vuli na mvua za masika, sasa hivi wakulima wanaandaa mashamba kwa ajili ya kilimo cha vuli. Barabara zinapitika kipindi chote cha mwaka na usafiri upo wa daladala, pikipiki na Noah. Matrekta ya kulima yanapatikana kijijini.
Eka moja inauzwa kwa shilingi milioni mbili tu, mazungumzo yapo kutengemea na eneo.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa simu : 0714 526 057 na 0762 931 237
Karibuni ajira zipo mashambani.