Kamata Kamata Ya Wanaume Wanaovaa Cheni Iran

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
Katika kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi, serikali ya Iran imesambaza jeshi maalumu la watu 70,000 watakaokuwa wakiwatia mbaroni wanaume wote watakaokamatwa wakiwa wamevaa chini au hereni.
Ili kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi nchini Iran, sheria kali imetolewa ya kupiga marufuku wanaume kuvaa cheni au hereni au kukata nywele katika fasheni za watu wa magharibi.

Ili kuisimamia sheria hiyo mpya, jumla ya polisi maalumu 70,000 watakuwa mitaani kuwatia mbaroni wanaume watakaonekana wanakiuka sheria hiyo mpya ambayo imeelezewa kuwa inazuia uvamizi wa tamaduni za magharibi.

Wanawake wanaovaa nguo za kubana, suruali fupi au wanaovaa viremba vyenye kuonyesha sehemu ya nywele zao nao watatiwa mbaroni na jeshi hilo maalumu la kurekebisha tabia.

Sheria hii imetoka wakati, bunge la Iran likijadili sheria ya kupiga marufuku umilikaji wa mbwa nchini humo.

Shirika la habari la Iran, lilisema kuwa sheria hizi mpya zimelenga kuzuia uvamizi wa kitamaduni wa nchi za magharibi na ili kusimamia utekelezaji wa sheria hizo, polisi 70,000 wataingia kwenye mitaa ya Tehran na miji mingine kusaka watu watakaozivunja sheria hizo.
 
Allahu akbar 3,tanzania imeshamalizwa na western culture,wanawake matiti stye,wanaume kata ***** style,picha zangono zimekithri iran keep it up,mungu atawasaidieni.
 
Katika kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi, serikali ya Iran imesambaza jeshi maalumu la watu 70,000 watakaokuwa wakiwatia mbaroni wanaume wote watakaokamatwa wakiwa wamevaa chini au hereni.
Ili kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi nchini Iran, sheria kali imetolewa ya kupiga marufuku wanaume kuvaa cheni au hereni au kukata nywele katika fasheni za watu wa magharibi.

Ili kuisimamia sheria hiyo mpya, jumla ya polisi maalumu 70,000 watakuwa mitaani kuwatia mbaroni wanaume watakaonekana wanakiuka sheria hiyo mpya ambayo imeelezewa kuwa inazuia uvamizi wa tamaduni za magharibi.

Wanawake wanaovaa nguo za kubana, suruali fupi au wanaovaa viremba vyenye kuonyesha sehemu ya nywele zao nao watatiwa mbaroni na jeshi hilo maalumu la kurekebisha tabia.

Sheria hii imetoka wakati, bunge la Iran likijadili sheria ya kupiga marufuku umilikaji wa mbwa nchini humo.

Shirika la habari la Iran, lilisema kuwa sheria hizi mpya zimelenga kuzuia uvamizi wa kitamaduni wa nchi za magharibi na ili kusimamia utekelezaji wa sheria hizo, polisi 70,000 wataingia kwenye mitaa ya Tehran na miji mingine kusaka watu watakaozivunja sheria hizo.

Jeshi maalum la kurekebisha tabia hahaa haaaa na hapa tz tunahitaji hili jeshi
 
Hizi sheria napenda tuziinge zitatusaidia sana kuwanyoosha mashoga
 
mhh chen ?
inategemea ikoje

manake kuna wengne wanavaa chen sjui za dada zao?
chen ya kiume inapendeza avae silva tena ndogo tu..na unaificha sio tena ukiiivaa unafungua kifungo mpaka cha tumbon ili watu waone...

blaslet kdg ...jion ivi wakat twatoka...lakin si job machen ayopooooo mwanaume kuvaa chen 3 yahuu?
blaslet iloooo km dalali wa madin ahh ainog...YES IRAN BG UP
 
Katika kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi, serikali ya Iran imesambaza jeshi maalumu la watu 70,000 watakaokuwa wakiwatia mbaroni wanaume wote watakaokamatwa wakiwa wamevaa chini au hereni.
Ili kuzitokomeza tamaduni za nchi za magharibi nchini Iran, sheria kali imetolewa ya kupiga marufuku wanaume kuvaa cheni au hereni au kukata nywele katika fasheni za watu wa magharibi.

Ili kuisimamia sheria hiyo mpya, jumla ya polisi maalumu 70,000 watakuwa mitaani kuwatia mbaroni wanaume watakaonekana wanakiuka sheria hiyo mpya ambayo imeelezewa kuwa inazuia uvamizi wa tamaduni za magharibi.

Wanawake wanaovaa nguo za kubana, suruali fupi au wanaovaa viremba vyenye kuonyesha sehemu ya nywele zao nao watatiwa mbaroni na jeshi hilo maalumu la kurekebisha tabia.

Sheria hii imetoka wakati, bunge la Iran likijadili sheria ya kupiga marufuku umilikaji wa mbwa nchini humo.

Shirika la habari la Iran, lilisema kuwa sheria hizi mpya zimelenga kuzuia uvamizi wa kitamaduni wa nchi za magharibi na ili kusimamia utekelezaji wa sheria hizo, polisi 70,000 wataingia kwenye mitaa ya Tehran na miji mingine kusaka watu watakaozivunja sheria hizo.

Hii nimeipenda, natamani hata bongo Jk afunguke aitangaze kwa wanaume wavaa cheni na hereni pia wanawake wavaa sox,suruali,kaptua,watoa matiti nje,pia wanaoacha ****** nje nje.
 
huu ni uonezi kilamtu ana uhuru wake jamani kikubwa asivunje sheria naona kama hii sheria ina wanyima uhuru wana nchi wake ingawa kuna vitu vingine tunaiga mbaka tuna sahau utamaduni wetu.
 
nawasifu mno kwa kuthubutu kurudisha heshima. Hapa TZ haitawezekana kwa sababu hata baadhi ya mawaziri na wabunge ndio mitindo yao hiyo .

Pia hakuna kiongozi mwenye ubavu wa kusema au kutoa wazo la kuanzisha sheria za namna hiyo kwa sababu watoto wao ndo masharobaro, ndo wavaa uchi, ndo wabua y unga n.k. Labda miaka ijao aje kutokea lakini kwa sasa ni ngumu viongozi wameoza kabisa kimaadili
 
Back
Top Bottom