Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,703
Ni Jambo Jema
Kwa nia Njema
Hongera Sana Kamarada Mrisho Gambo
Kwa nia Njema
Hongera Sana Kamarada Mrisho Gambo
Alishawahi kubeba labda hujui tuWajinga ndio watashawishika na kubeba kwake ndoo, angebeba kabla ya kampeni.
Yaani CCM sijui kwanini mnawaona watanzania hawana ufahamu.
Wajinga ndio watashawishika na kubeba kwake ndoo, angebeba kabla ya kampeni.
Yaani CCM sijui kwanini mnawaona watanzania hawana ufahamu.
Namkubali sana Gambo, ninge kuwa Mkazi wa Arusha ningempa kura yangu bila kipingamizi.
Ni Jambo Jema
Kwa nia Njema
Hongera Sana Kamarada Mrisho GamboView attachment 1582355View attachment 1582356
Kwani kipindi chote alikuwa wapi hakubebaga? Sisi mbona tulibebaga sana na hatukuhitaji mtu atupige picha?
Mwambieni hata hakibeba mimba ili kuonesha anawajali akina mama kura hapati.
Achana na ndoo, mwambie abebe na mimba kabisa!!Ni Jambo Jema
Kwa nia Njema
Hongera Sana Kamarada Mrisho GamboView attachment 1582355View attachment 1582356
Kwa sabababu ya kubeba ndoo ndio yataenda ccm?Katika majimbo haya ma4 Kawe, Mbeya, Mikumi na Arusha mjini kuna uwezekano yakawa ma2 au ma3 yakaenda kwa CCM
Nonsense/TrashKatika majimbo haya ma4 Kawe, Mbeya, Mikumi na Arusha mjini kuna uwezekano yakawa ma2 au ma3 yakaenda kwa CCM
Unamkubali sana, sio?Namkubali sana Gambo, ninge kuwa Mkazi wa Arusha ningempa kura yangu bila kipingamizi.
Huyu anakunywa uji kwa mama ntilie akidai mamayake alikuwa mpiga uji. Anashinda kwenye vijiwe vya kahawa, na sasa anabeba ndoo tupu ilimradi kampeni ziende.Kumbuka yule wa M4C 2015 aliyekua anapanda daladala za Dar na kwenda kunywa uji sokoni
hapana sio hivyo mie naona kwa sababu ya ushindani uliokuwepoKwa sabababu ya kubeba ndoo ndio yataenda ccm?
ki ukweli hata mimi tarehe 28 macho yangu yote kwenye hayo majimbo ukiangalia wagombea wote wapo vizuriKatika majimbo haya ma4 Kawe, Mbeya, Mikumi na Arusha mjini kuna uwezekano yakawa ma2 au ma3 yakaenda kwa CCM