Wakati mwingine oneni aibu kutetea ujingaTULIA akienda popote haendi kama mbunge viti maalumu anaenda kama nabu spika wa bunge la muungan,Naibu spika ni wa vyama vyote bungeni anaenda kwa mamlaka ya kiti cha naibu spika
Wakati mwingine oneni aibu kutetea ujingaTULIA akienda popote haendi kama mbunge viti maalumu anaenda kama nabu spika wa bunge la muungan,Naibu spika ni wa vyama vyote bungeni anaenda kwa mamlaka ya kiti cha naibu spika
Kwani hayajui haya mkuu?Magufuli atakapokuja kujua kuwa anahujumiwa atakuwa amechelewa. Mikoa mingine wanafanya mikutano ya hadhara haohao viti maalum, Tanga wamezuiwa. Halafu kiswahili kilichotumika tu kinaonesha uwezo Wa chini mno Wa kifikiri Wa huyo OCD.
Akili yangu fupi inadhani hajui, maana mtu mzima kama yule kutojua madhara ya matendo kama haya dhidi ya uongozi wake ni ukosefu Wa busara Wa kiwango cha juu.Kwani hayajui haya mkuu?
Nahisi mimba yako ilitungwa kwenye utumbo mpana sio kwenye kizazi na hayo ndio madhara ya kuzaliwa kupitia tundu la nyumaTULIA akienda popote haendi kama mbunge viti maalumu anaenda kama nabu spika wa bunge la muungan,Naibu spika ni wa vyama vyote bungeni anaenda kwa mamlaka ya kiti cha naibu spika
Nadhani kesi zilizofunguliwa mahakama kuu kuhusiana na haki za kufanya mikutano.
Pia ipo kesi nyingine ya kupinga wakurugenzi wa halmashauri na majiji kutosimamia chaguzi zetu.
Tatizo ni hivi vyeo vya kuteuliwa, bwege kapewa mamlaka makubwa yaliyomzidi!!
Kama hao unaowaita wasaidizi wake endapo wangekuwa wanakosea juu ya wapinzani ungeshamsikia akiwalaumu hao wasaidizi.Je, kuna siku wewe binafsi ulishawahi kumsikia akiwaonya wakuu wa wilaya,mikoa,wakurugenzi nk.kuhusu kuwanyanyasa wapinzani?Naona jambo kwa jicho langu la rohoni japo miye sio nabii Titto! Unaweza kufikiri hawa watendaji wa juu kuwa wanatoa maagizo kwa hawa wa chini ili kumfurahisha mkulu! Kwangu ni kinyume kabisa kwani binadamu ana mbinu nyingi za kukuangusha akidhamiria! Niliwahi kushauri humu juu ya hao wasaidizi na washauri wake asiwaamini sana kwani yeye ndiye anayetupiwa matope kwenye uongozi wake na wao wanabaki wasafi kwani hawaonekani popote hao wapambe nuksi! Na huu mpango unafanikiwa sana tena kwa kasi kuliko maendeleo anayopambana kuyaleta!
Ona zile kaulimbiu za tanzania ya viwanda zinavyozimwa na mauaji au utekaji wa viongozi na ununuzi wa madiwani na ubunge pamoja na marudio ya uchaguzi! Mkulu awe makini na hawa watengeza mbinu na mikakati ya kumharibia kwa wananchi! Alikemee jeshi la polisi sasa kwa kusaidia kuvunja sheria badala ya kuzilinda kwani wao hawalaumiwi kihivyo!
Na huenda mkulu una upinzani wa ndani kabisa unaoratibiwa na hao wanaokuzunguka na kukushauri! Haiwezekani mkulu ashindwe kwa kila kitu alichokianzisha kama rushwa, madini n ununuzi wa ndege! Kuna hujuma na wafute kazi wote ukianzia kwa mawaziri na wakuu wa polisi na mikoa na hata wilaya! Hawakusaidii kusimamia na kuelimisha wananchi zaidi ya kuwatia hasira ili wakuchukie wewe na serikali yako!
Sijabase kwenye jambo moja bali nimejumuisha mengi ambayo hayatekelezwi wala kuhimizwa baada ya kutangazwa! Hilo la kuwanyanyasa wapinzani wa vyama vingine halimsaidii sana na linafanana na mfano wa fundi mkuu kuwachukia wabeba zege wakati wanasaidia kuijenga nyumba hiyohiyo anayoisimamia na sijui itakamilika bila msaada wa hawa wabeba zege na matofali? Napo hapa mshauri wake wa masuala ya kisiasa hamtendei haki. Nimshauri tu ajiulize na kuzitafakari faida za kufuga mbwa kuwa ni kusaidia ulinzi wa nje wakati wewe mfugaji umelala ndani!Kama hao unaowaita wasaidizi wake endapo wangekuwa wanakosea juu ya wapinzani ungeshamsikia akiwalaumu hao wasaidizi.Je, kuna siku wewe binafsi ulishawahi kumsikia akiwaonya wakuu wa wilaya,mikoa,wakurugenzi nk.kuhusu kuwanyanyasa wapinzani?
Ha ha ha, wewe ni kiongozi wa malofa?Kiongozi Wa upuuzi Uvccm umrchelewa sana Leo.
Hivi kumbe tamko limeshakuwa sheria tayari !!! Duuhh katiba mpya ndio chakudai vinginevyo tumerudia ukoloniMUHEZA: Kamanda wa Polisi amemzuia Mbunge Yosepher Komba(CHADEMA) kufanya mkutano wa hadhara kwasababu ni Mbunge wa Viti Maalumu.
> Barua hiyo ya Kamanda wa Jeshi la Polisi Wilayani hapo imeeleza kuwa inatambua mikutano ya hadhara imeruhusiwa kwa Wabunge wa Kuchaguliwa(Majimbo) pekee
> Jeshi la Polisi limemtaka Mbunge huyo awasiliane na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga
Kwa hiyo Mbowe na Lissu wanaweza kuzunguka nchi nzima kukagua miradi ya maendeleo kisa ni mnadhimu na naibu mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni? Acha utetezi dhaifu dogo.