sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Ameongea very professional
HahaaaaaRoma amepatikana yuko kituo cha Polisi Oyster bay. Amepatikana kabla ya J2 kama alivyoahidi RC. Mi naona RC anafaa kwa upelelezi, Sirro tembea huwezi kazi
Hahahahahahaha si ana shauriwa na kina Le mtumbozBashite amejikuta anavujisha siri yake mwenyewe
Hivi mkuu watu wamekusudia mabaya watatumia namba halisi za gari hilo? Labda kama ni polisi au kikosi kingine. Lakini waharifu unaweza ku record namba ukakuta ni ya kiberenge!!Hiyo gari hivi hawakufanikiwa kunasa namba zake? maana wanasema hapo nyumbani palikuwa na watu wengine!
Hivi mkuu watu wamekusudia mabaya watatumia namba halisi za gari hilo? Labda kama ni polisi au kikosi kingine. Lakini waharifu unaweza ku record namba ukakuta ni ya kiberenge!!Hiyo gari hivi hawakufanikiwa kunasa namba zake? maana wanasema hapo nyumbani palikuwa na watu wengine!
Shunie mambokwahiyo akaulizwe bashite aliyesema kabla ya jumapili watapatikana
Poa za ww za kuadimikaShunie mambo
Upelelezi huwa unachukua muda gani mbona Ben saanene hadi Leo upelelezi bado tuMi naona siro yupo sahihi ,upelelezi ndio utakao leta majibu sasa huyo alieahidi mpaka jumapili watakuwa wamepatikana ina maana anajua walipo.