Kamanda Sirro awaonya wanaozusha taarifa za uongo

Kamanda Sirro awaonya wanaozusha taarifa za uongo

Ni aibu yeye kutamka maneno hayo.
Ni bora angekaa kimya kuliko kujiaibisha kwa kiwango hicho
 
Kibaka gani wa kuiba laptop ina maana hapakuwa na vitu vya kuvutia zaidi ya laptop?
 
Suala la kuzusha taarifa za uongo ni vema aanze na RC aliyemzushia kamanda kala mlungula ili kuruhusu shisha asipomchukulia hatua RC tutajua ni kweli alikula huo mlungula
Tukutane mahakamani kuthibitisha RC alisema hivyo....ila we jamaa nimecheka sana
 
Nchi hii ina vituko kweli....
unawezaje kusema hazijaibiwa nyaraka wkati huohuo unasema imeibiwa kompyuta!!!
ndani ya kompyuta kulikuwemo muziki wa Darasa_MUZIKI Na Maisha!???
 
anajua kilichokuwemo kwenye laptop au anadhan nyaraka lazima ziwe inform of papers atuulize sie wadukuzi
Mkuu makamanda wetu baado wanaamini watanzania ni wajinga atuambie hiyo laptop ilikuwa na nini siyo analeta brabra au kulikuwa na vikombe vya chai aache kukurupuka.
 
Mimi nauliza hv zile laptop za walimu walizoahidiwa ziko wapi jamanii?
Zipo viwandani, mkiwachagua 2020 ndio wanawakabidhi waalimu.
Wamegundua walimu wengi bado awajaweza kuzitumia
 
Back
Top Bottom