Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

Atasema alikuwa anataia kama Steve Nyerere. Wanaotishwa ni watu wa chini, issue ya Bashite watu wadai tuangalie utendaji ila kwa Walimu na Manesi vyeti lazima.
 
Suala la wauza madawa lipo waz na watuhumiwa wanatangazwa na kuchunguzwa je wenye vyeti feki mbona hawakamatwi na kuhojiwa na uchunguz juu yao? Acha tule kotekote! Tutafka tu!
 
Hili zoezi likifanyika kwa uadilifu LITADUWAZA na KUSHANGAZA wengi.Sisi wakristo tupeleke na vyeti vya UBATIZO wa maji MACHACHE maana kuna wengine wamevitakatisha kwa maji Mengi
Mkuu una maono ya mbali sana. Hatimaye TUMEDUWAZWA tayari.
 
Back
Top Bottom