Kamanda Ngwatta arejea ulingoni

Kamanda Ngwatta arejea ulingoni

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
950
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Nyasa kwa tiketi ya UKAWA, Kamanda Ngwatta amerejea ulingoni baada ya kutibiwa na kupona kufuatia ajali aliyoipata kwenye harakati za Kampeni.


WANANCHI WAKIWA WAMEHAMASIKA KUSUKUMA GARI YA NGWATTA...NGWATTA AMEKUWA TISHIO KWA MAMA STELLA MANYANYA a.k.a MAMA MATOMATO
 

Attachments

  • IMG-20151012-WA0004.jpg
    IMG-20151012-WA0004.jpg
    118 KB · Views: 75
  • IMG-20151011-WA0008.jpg
    IMG-20151011-WA0008.jpg
    153.1 KB · Views: 65
  • IMG-20151011-WA0006.jpg
    IMG-20151011-WA0006.jpg
    143.1 KB · Views: 63
  • IMG-20151011-WA0005.jpg
    IMG-20151011-WA0005.jpg
    117.9 KB · Views: 63
  • FB_20151008_20_31_00_Saved_Picture.jpg
    FB_20151008_20_31_00_Saved_Picture.jpg
    39 KB · Views: 60
kama alimtusi Raisi wetu Lowassa , Bora hasingerudi!!
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Nyasa kwa tiketi ya UKAWA, Kamanda Ngwatta amerejea ulingoni baada ya kutibiwa na kupona kufuatia ajali aliyoipata kwenye harakati za Kampeni.

Sisi MALOFA tukiponea hapa nyumbani, wao wanao jiona ni wa madaraja ya juu na kukimbilia India wanazimika. Israeli aendelee wakaribisha kwake wale wote wanao kimbilia huko kwa kuto kutengeneza hospitali zetu na kukimbilia India. AMINA.
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Nyasa kwa tiketi ya UKAWA, Kamanda Ngwatta amerejea ulingoni baada ya kutibiwa na kupona kufuatia ajali aliyoipata kwenye harakati za Kampeni.

Mungu ni mwema sana , mapepo yamechemka .
 
Sisi MALOFA tukiponea hapa nyumbani, wao wanao jiona ni wa madaraja ya juu na kukimbilia India wanazimika. Israeli aendelee wakaribisha kwake wale wote wanao kimbilia huko kwa kuto kutengeneza hospitali zetu na kukimbilia India. AMINA.
Nimecheka almanusura nichane mbavu !
 
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Nyasa kwa tiketi ya UKAWA, Kamanda Ngwatta amerejea ulingoni baada ya kutibiwa na kupona kufuatia ajali aliyoipata kwenye harakati za Kampeni.

naomba utaje majina ya ngwata yote kama ni jamaa tulisoma naye
 
Karibu tena ulingoni Kamanda Ngwatta, hakika tutashinda.
 
Back
Top Bottom