Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 17,562
- 27,633
Angalia tweets zake hapa:-
Wanaomtambua watuthibitishie kama huyu ndiye mwenye jina.
Yaonekana ni CCM diehard, hiyo ndiyo picha yake inayoonekana kwenye background ya akaunti yake ya twitter.
Ni mpenzi wa Yanga na aliingia Twitter mwaka 2018
Hilo tishio alitoa juzi Jumanne tarehe 29/04/25
Tishio jingine tarehe 28/04/25
Na kweli yametokea Padri Kitima kashambuliwa usiku wa kuamkia Mei Mosi.
Wanaomtambua watuthibitishie kama huyu ndiye mwenye jina.
Yaonekana ni CCM diehard, hiyo ndiyo picha yake inayoonekana kwenye background ya akaunti yake ya twitter.
Hilo tishio alitoa juzi Jumanne tarehe 29/04/25
Tishio jingine tarehe 28/04/25
Na kweli yametokea Padri Kitima kashambuliwa usiku wa kuamkia Mei Mosi.