Takataka hiliWakuu
Akiwa anazungumza leo, Kamanda Muliro ametoa kauli hii:
"Nina hakika kwa Jeshi hili sidhani kama yupo anaependa kufa"
Kuepukana na kifo siku hiyo sitatoka ndani, polisi wa CCM hawakawii kufunga barabara na kuwapiga wapitanjia.Wakuu
Akiwa anazungumza leo Agosti 20 Mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 Kamanda Muliro wakati anafunga hotuba yake ametoa kauli hii:
"Nina hakika kwa Jeshi hili sidhani kama yupo anaependa kufa"
Siku hiyo polisi ndio watazuia uchaguzi ,Kuepukana na kifo siku hiyo sitatoka ndani, polisi wa CCM hawakawii kufunga barabara na kuwapiga wapitanjia.
Mahita anafanya kushikiliwa atembee vizuri ..maisha haya...Huyu asubiri aibu na amuangalie Mahita
Si wamehongwa magari, bodaboda na baskeli na fedha na CCM.....STUPID BABOONSWakuu
Akiwa anazungumza leo Agosti 20 Mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 Kamanda Muliro wakati anafunga hotuba yake ametoa kauli hii:
"Nina hakika kwa Jeshi hili sidhani kama yupo anaependa kufa"
Kweli kabisa, ukilinganisha idadi ya polisi, JKT, Mgambo nk bado hawawezi kulinda vitua vyoteAwadanganye wajinga,
Takwimu ziko wazi kuwa, idadi ya polisi na askari white nchi nzima,
Hawaezi kutosha kulinda hata kwa askari mmoja tu kwa Kila kituo Cha uchaguzi.
Hivyo vitisho vya kijinga baada ya kuhongwa, akawadanganye watoto wake.
Hii nchi ni yetu sote,
Na ajue Sisi wananchi ndio tumenunua bunduki na hizo risasi chache kutulinda SI kututishia.