meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,829
Habari za jioni wakubwa.
Thread hii inaweza kuwahusu watu wa Arusha hasa hasa wale waliosoma elimu ya msingi katikati ya jiji la Arusha kipindi hicho manispaa ya Arusha.
Kwa wanafunzi hasa wa shule zetu za kidumu fagio ni wazi mnamkumbuka huyu mbaba aliyekuwa akijulikana kama 'Kamanda'
Huyu jamaa alikuwa ni mgambo propbably mwajiriwa wa manispaa ya Arusha,wengi mtakaomkumbuka na kukumbuka heka heka zake basi mlikuwa watoro shuleni.
Kamanda alikuwa anazunguka mitaani na kwa mara chache alikuwa akiibuka mashuleni na kutembeza bakora za kufa mtu kwa wanafunzi watoro au watukutu.
Kilinichonisikitisha juzi juzi nimekutana na Kamanda maeneo ya sanawari akiwa tungi na katika dodosa dodosa eti watu wanasema 'kamanda' kawa bwabwa!
Thread hii inaweza kuwahusu watu wa Arusha hasa hasa wale waliosoma elimu ya msingi katikati ya jiji la Arusha kipindi hicho manispaa ya Arusha.
Kwa wanafunzi hasa wa shule zetu za kidumu fagio ni wazi mnamkumbuka huyu mbaba aliyekuwa akijulikana kama 'Kamanda'
Huyu jamaa alikuwa ni mgambo propbably mwajiriwa wa manispaa ya Arusha,wengi mtakaomkumbuka na kukumbuka heka heka zake basi mlikuwa watoro shuleni.
Kamanda alikuwa anazunguka mitaani na kwa mara chache alikuwa akiibuka mashuleni na kutembeza bakora za kufa mtu kwa wanafunzi watoro au watukutu.
Kilinichonisikitisha juzi juzi nimekutana na Kamanda maeneo ya sanawari akiwa tungi na katika dodosa dodosa eti watu wanasema 'kamanda' kawa bwabwa!