Asilimia mia na Magifuliccm na bashiru wanahusika.
Hivi si huyu ndio alisema risasi iliyomuua akwilina ilipigwa juu kisha ikakata kona kufuata daladala?
Wewe ina maana hukusikia maneno ya bashiru kuwa wanatumia dola? Au upumbafu umekulevya mpaka unashindwa kuyakumbuka maneno hayo?Haiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa..ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu
Kwamba wafuasi wa Chadema walitumia nguvu kutaka kuingia gerezani kwenda kumtoa Mwenyekiti wao Mh.Mbowe?
Mbowe alikaa gerezani Siku kadhaa,kwanini hizo nguvu hawakutumia ndani ya Siku hizo wakasubiri taratibu zote za kumtoa zifanyike ndo waende kulazimisha kumtoa kwa nguvu?
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza lakini ninachokiona ni askari wetu (Dola)kukubali kutumiwa na akina Bashiru kitu ambacho hakitaleta Afya njema ya Taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema hilo kosa lao ambalo unalijuaHaiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa..ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu
Daaa nimeamini mmefirisika Sera vichwani mwenuccm na bashiru wanahusika.
Kosa la jinai wakati mmeshaitangazia dunia tena kwenye Media kuwa mnaishi kwa nguvu ya dola? Sasa haya mnayotenda kwanini tusiamini kuwa dola IPO kazini?. Na Kama ni hisia zako kwanini unawaza upande mmoja tu..kwanini usiwaze kwamba watakuwa wametenda kosa la jinai
Kwahiyo hoja ya upinzani kufa imeshindwa mmeanzisha hoja mpya ya kukosa Sera?Daaa nimeamini mmefirisika Sera vichwani mwenu
Usitumie makalio kufikiri, Tumia kichwa, kwa akili zako ndogo wafuasi wa Chadema walivamia Gereza kwa nguvu?Haiingii akilini suala la magereza unamhusisha Bashiru kivipi hasa..ni kukosa akili tu ya kuwaza. Unajua ni kosa gani wamefanya au unahisia zako tu
Siyo razima ni lazima.Lakini tambua kuwa hakuna siri ktk ulimwengu wa TeknolijiaImekuwa maranyingi kuwekwa ndani mbowe lakini sidhani kama wafuasi wake huwa wanamfuata getini.
Wafuasi wanataka huruma za kina pompeo kwa razima.
Sent using Jamii Forums mobile app