Ukweli ni kwamba Lema haogopi gharama za uongozi na ndiyo maana haogopi kutenda haki kwa kadri anavyoweza na kusema ukweli bila kujali cheo au nafasi ya mtu huyo katika jamii. Viongozi wengi wanaogopa gharama za uongozi hasa anapoona atatofautiana na wenzake, mfano mzuri ni rais wetu katika suala kama muswada wa katiba na mengine mengi mnayajua.