Msitake kutishia Watu nyie,wameru labda miaka ya zamani ndio walikuwa wanawababaisha wanakijiji wenzao,hawana lolote. Nyie ngojeni madume ya CCM yatue huko Kama hao morani went hawakushikishwa ukuta. Hi ndio tatizo la JF,Watu wana mkwara babu kubwa wakati hakuna lolote.