Kamanda John D. Pallangyo kusimikwa kesho Arumeru Mashariki

Kamanda John D. Pallangyo kusimikwa kesho Arumeru Mashariki

mi yangu macho ! maana wameru kila wakati mnaweka wabunge wa majaribio.hivi ni mbunge gani meru alishawahi kukaa vipindi viwili ?
 
Wadau nawasalimu sana.

Mjumbe Wa Halmashauri kuu ya Ccm Wilaya na kada mwenzangu Wa Ccm kamanda John D. Pallangyo anatarajiwa kusimikwa kesho tarehe 20.12.2014 kuanzia majira ya SAA Tatu asubuhi katika viwanja vya Ngarasero katika Wilaya ya Meru mashariki.

Mosi John D Pallangyo atasimishwa kama kamanda Wa wilaya Vijana Wa Uvccm ambapo pamoja na hayo watahudhuria baadhi ya viongozi mbalimbali Wa serikali na makada Wa mkoa Wa arusha.

Tunaomba vijana wote Wa Meru mashariki kuja kumuona kamanda wenu mpya Wa wilaya Mzee wetu John Daniel Pallangyo.

Nawasilisha.

kumbe nanyi mnamakamanda? kweli nyie ni copy na cupest
 
huyo ni kamanda wa sungusungu si wa ku fighting
 
Sidhani kama CCM itafurukuta Arumeru hasa ukizingatia matokeo ya uchaguzi wa S/M.

Ndoto za mchana unaota wanameru wanampenda sana John Daniel Pallangyo wanataka awe mbunge wao mwakani wamemchoka nasary.
 
Mkuu laki si Pesa , kamanda wetu wameru wamesema hakuna.cha nasary tena Meru wamepata chaguo lao na wamemsubiri sana John kwa muda mrefu wanampenda sana nenda maeneo yote Samaria, ngabobo, Maji ya chai, kila pahala ni jina la John Daniel Pallangyo linatajwa .
hao wameru wote ulikutana nao wapi?
 
Haa haa kamanda wa ccm? Labda kamanda wa kutetea majizi ya escrow na hata epa!
 
Wadau nawasalimu sana.

Mjumbe Wa Halmashauri kuu ya Ccm Wilaya na kada mwenzangu Wa Ccm kamanda John D. Pallangyo anatarajiwa kusimikwa kesho tarehe 20.12.2014 kuanzia majira ya SAA Tatu asubuhi katika viwanja vya Ngarasero katika Wilaya ya Meru mashariki.

Mosi John D Pallangyo atasimishwa kama kamanda Wa wilaya Vijana Wa Uvccm ambapo pamoja na hayo watahudhuria baadhi ya viongozi mbalimbali Wa serikali na makada Wa mkoa Wa arusha.

Tunaomba vijana wote Wa Meru mashariki kuja kumuona kamanda wenu mpya Wa wilaya Mzee wetu John Daniel Pallangyo.

Nawasilisha.

Amepona? Hivi vigezo vya kamanda wa vijana ni zipi?
 
Ndoto za mchana unaota wanameru wanampenda sana John Daniel Pallangyo wanataka awe mbunge wao mwakani wamemchoka nasary.

Mkuu kauli zako zinajichanganya kweli kweli hivi JD akushiriki kwenye kampeni za serikali za mtaa? Hiyo study ya kujua kuwa wameru wanampenda JD imefanyika lini? Kwalipi Hasa? Nyie kuleni tu fedha zake.
 
Mkuu kauli zako zinajichanganya kweli kweli hivi JD akushiriki kwenye kampeni za serikali za mtaa? Hiyo study ya kujua kuwa wameru wanampenda JD imefanyika lini? Kwalipi Hasa? Nyie kuleni tu fedha zake.


Mkuu nimezunguka vijiii vingi wananchi wamesema John d ndiyo chaguo wanalotaka kwa muda mrefu sana.
 
Amini sasa kuwa wanameru wanampenda sana John D ndiyo chaguo.

Tafadhali mnijuze,huyu John Pallangyo ndiyo huyo mfanyabiashara mwenye ofisi yake hapo Safari Hotel Arusha ?

Kama ni yeye,mtapata taarifa zake,yeye ni mtu wa aina gani
 
Mkuu mmaranguoriginal vipi Leo haujaenda kwa Adv. Daniel kusheherekea? au kwa sasa sio rafiki tena kwa vile kesho ngarasero Kuna pilau?

CCM Bwana
 
Back
Top Bottom