mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Wadau nawasalimu sana.
Mjumbe Wa Halmashauri kuu ya Ccm Wilaya na kada mwenzangu Wa Ccm kamanda John D. Pallangyo anatarajiwa kusimikwa kesho tarehe 20.12.2014 kuanzia majira ya SAA Tatu asubuhi katika viwanja vya Ngarasero katika Wilaya ya Meru mashariki.
Mosi John D Pallangyo atasimishwa kama kamanda Wa wilaya Vijana Wa Uvccm ambapo pamoja na hayo watahudhuria baadhi ya viongozi mbalimbali Wa serikali na makada Wa mkoa Wa arusha.
Tunaomba vijana wote Wa Meru mashariki kuja kumuona kamanda wenu mpya Wa wilaya Mzee wetu John Daniel Pallangyo.
Nawasilisha.
Mjumbe Wa Halmashauri kuu ya Ccm Wilaya na kada mwenzangu Wa Ccm kamanda John D. Pallangyo anatarajiwa kusimikwa kesho tarehe 20.12.2014 kuanzia majira ya SAA Tatu asubuhi katika viwanja vya Ngarasero katika Wilaya ya Meru mashariki.
Mosi John D Pallangyo atasimishwa kama kamanda Wa wilaya Vijana Wa Uvccm ambapo pamoja na hayo watahudhuria baadhi ya viongozi mbalimbali Wa serikali na makada Wa mkoa Wa arusha.
Tunaomba vijana wote Wa Meru mashariki kuja kumuona kamanda wenu mpya Wa wilaya Mzee wetu John Daniel Pallangyo.
Nawasilisha.