Wadau,
Pamoja na sekeseke dhidi ya polisi aliyokutana nayo kamanda Mdee m/kiti wa BAWACHA tatifa na timu yake leo wanaendelea kutimua vumbi mkoani Kagera na sasa wako Bukoba mjini tiyari kuwasha moto katika viwanja vya Uhuru maarufu kama viwanja vya Mayunga.
Shamlashamla za kumpokea Mdee zimeanza mapema asubuhi,huku katika vijiwe mbalimbali watu wakitathimini na kupongeza uwezo wa CHADEMA wa kutengeneza wanasiasa wazuri.Hasa wakizingatia jinsi Mdee alivyoyatikisa magamba na polisi wake kote alikopita.
Wadau tutaendelea kuwajuza yanayoendelea na walioko karibu,karibu tuhudhulie kwa wingi.
Pamoja na sekeseke dhidi ya polisi aliyokutana nayo kamanda Mdee m/kiti wa BAWACHA tatifa na timu yake leo wanaendelea kutimua vumbi mkoani Kagera na sasa wako Bukoba mjini tiyari kuwasha moto katika viwanja vya Uhuru maarufu kama viwanja vya Mayunga.
Shamlashamla za kumpokea Mdee zimeanza mapema asubuhi,huku katika vijiwe mbalimbali watu wakitathimini na kupongeza uwezo wa CHADEMA wa kutengeneza wanasiasa wazuri.Hasa wakizingatia jinsi Mdee alivyoyatikisa magamba na polisi wake kote alikopita.
Wadau tutaendelea kuwajuza yanayoendelea na walioko karibu,karibu tuhudhulie kwa wingi.
![]()
Katikati ni Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare
![]()
Mbunge wa Viti Maalumu ambaye pia ni katibu wa mkoa, Mama Concesta Rwamlaza akiongea na maelfu ya wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa BAWACHA jana Mjini Bukoba
![]()
![]()
Mwenyekiti Bawacha Mhe. Halima Mdee akikabidhiwa zawadi kutoka kwa Wanawake wa Chadema Kata ya Hamugembe Mjini Bukoba.
![]()
![]()
![]()
![]()
Sehemu ya wanachi wa Manispaa ya Mji Bukoba waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa Viongozi wa BAWACHA uliofanyika jana jioni ya Oktoba 29 Katika Uwanja wa Uhuru Mjini Bukoba mkoani Kagera.
Agenda kuu katika mkutano huo ni:
i) Kuwahamasiha wanawake kujiandikisha katika daftari la kudumu la kupiga kura
(BVR)
ii) Kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa
iii) Kuwaelimisha na kuwa na mtazamo sahihi wa katiba mpya ijayo
iv) Kuwahamasisha kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015
v) Kubaini na kuwatia shime wagombea wanawake makini katika nafasi mbalimbali
kwenye chaguzi hizi
PICHA ZOTE NI KWA HISANI YA BUKOBA WADAU