Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,307
- 62,527
- Thread starter
-
- #21
ha ha ha ha,kuna hospitali moja nilimpeleka ma mkwe huko meru...nilishangaa kukuta kuna watoto wazuri(ma-nurse);yaani unaweza kutamani uugue tu.Kuna mshikaji wetu skuli aliugua cerebral malaria, basi akimwona nesi yoyote anapita, anaanza kupayuka, "kileteni hicho ki nesi nikit..mbe" [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hahaha hahaha
Hiyo ndo dawa
Hahaha hahaha hahaha
Hiyo ndo dawa
Hahaha hahaha hahaha
Hiyo ndo dawa
ha ha ha haHapana jamaniii...
Leo hata sipikiBi Mkubwa wahi jikoni haraka maharagwe uliyoinjika yanaungua.
ha ha ha kula kwa macho🤔🤔🤔🤔😍😍😍
ha ha ha ha au unatoa kabisa kufuli
Nurse Atapigwa Atachakaaha ha ha kula kwa macho
Leo hata sipiki
ha ha ha ha akizidiwa anapeleka mkono huko,matokeo yake aliyebeba machela anaanza kurembua na kutamani safari iendelee kuwa ndefuHapo kufuli hamna jamaa anasoma barua tu
ha ha ha ha akizidiwa anapeleka mkono huko,matokeo yake aliyebeba machela anaanza kurembua na kutamani safari iendelee kuwa ndefu
ha ha ha ha afanyeje sasa ili asipate ngumi?Uhh wee hapo kusoma tu ukigusa atachezea kelebu[emoji1420] ya uwakika
ha ha ha ha afanyeje sasa ili asipate ngumi?
Afe tu[emoji23][emoji23][emoji23]Ungeua sasa
ha ha ha ushawishi utazidiAnakula kwa macho
Hahaha hahahaKweli we ni genius
Ila asiendelee kuonaKeshaona
Na yeye anaamua kugeukia mbeleHamna nafuu hapo!
Nahamia kwa mbele