Ulipouziwa nguo kwa kupunguziwa kuwa 9,700/-,
Ni sawa na kusema; Dada Alichangia 4,850/- na Kaka 4,850/- (ambapo jumla yake ndio hiyo 9,700/-) katika manunuzi ya nguo hiyo.
Ikabaki 300/-, yaani 150 kutoka kwa kila mmoja wapo waliokuchangia, Ambapo ndio jumla ya 300 (Uliyoishika mkononi)
Ukaamua kupunguza deni kwa kila mmoja kupata 100/-.. Ikawa sasa, Kila mmoja amepata 4,850/- + 100/- = 4,950/-.
Kwa wawili wote ni kusema;
4,950/- + 4,950/- = 9,900/-.
Mia moja (100/-) ndio hiyo iliyobaki mkononi mwa mkopaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.