Barbarosa
Masoo wote wanayo kwaani:-
Je, wakati fedha za Mkonge kupitia
mfanyabiashara aitwaye CHAVDA
zinaibiwa Lowassa alikuwa waziri
mkuu? Alikuwa malecela!. - Madini ya
dhahabu yaliyokamatwa uwanja wa
ndege wakati wa Rais Mwinyi
yalikuwa ni madini ya Lowassa? -
Wakati Akasha wa dawa za kulevya
anakamatwa na kutoroshwa
aliyehusika ni Lowassa? Waziri Mkuu
alikuwa Malecela. - Mrema alipolipua
bomu la mwenyekiti wa CCM
kuhongwa milioni 900 za minofu ya
samaki alikuwa ni Lowassa? Waziri
mkuu alikuwa Sumaye . - Kashfa ya
sukari alikuwa ni Lowasa? Waziri
mkuu alikuwa Sumaye. - Kashfa ya
Loliondo gate 1992 ya mtoto wa
mfalme wa Kuwait alikuwa ni
Lowassa? Kinana na Abubakar
Mgumia walihusika. - Wanyama hai
kutoroshwa nje ya nchi alikuwa
Lowassa? Waziri mkuu Pinda. - EPA
aliyeidhinisha fedha zichukuliwe
alikuwa Lowassa? Mkapa na Mangula
wanajua. - NBC Bank kuuzwa alikuwa
Lowasa? Mkapa na Sumaye
wanahusika. - Kiwira alikuwa
Lowassa? Mkapa na Sumaye
wanahusika. - Rada na ndege ya rais
alikuwa Lowassa? Mkapa, Chenge na
Dr. Rashid walihusika. - Mkataba wa
Buzwagi alikuwa Lowassa?
Karamagi,Kikwete na Mwakapugi
walihusika. - Stimulus package ya
wakulima wa pamba baada ya
Mdororo wa uchumi duniani alikuwa
Lowassa? Kigwangala na Kikwete
wanajua. - Fedha za Bunge la Katiba
zilizobaki baada ya UKAWA kususia
Bunge hilo bilioni 3.87 alizichukuwa
Lowasa? Sitta, Samia suluhu
wanahusika. -Bilioni 250 zilizolipwa
wakandarasi hewa wa ujenzi wa
barabara alikuwa Lowassa? Magufuri
na Tizeba wanahusika. - TTCL
Kuuzwa kwa bei ya kutupa kwa Celtel
alikuwa ni Lowassa? Mwandosya
analo jibu. - Mabehewa mitumba
zilizonunuliwa alikuwa ni Lowassa?
Mwakyembe anahusika. - Kashfa za
pembejeo za wakulima alikuwa ni
Lowassa? Wassira na Pinda
wanahusika. - Fedha za Gadaffi
alikuwa ni Lowassa? Alikuwa ni
Membe. - Ununuzi wa nyumba ya
Ubalozi wa Tanzania Italia alikuwa ni
Lowassa? Kikwete na Mahalu
wanahusika. - Escrow tegeta account
alikuwa ni Lowassa? Kikwete,
Muhongo, Maswi, Albert Marwa
wanahusika. - Mradi wa malaria no
more alikuwa ni Lowassa? January
Makamba mhusika.