The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,429
Japo wote ni chama kimoja, kinachoendelea kinaonyesha kuwa macc siyo binadamu hasa yanapoingiliwmaslahi yao au kufichuliwa uovu wao.
Kama kweli kilichotokea kwa Humphrey Polepole kilimhusisha, uwezekano wa kuwa marehemu ni mkubwa. Tujikumbushe walivyommaliza:
Edward Sokoine,
Horace Kolimba,
Imran Kombe,
Dkt. Omari Ali Juma,
na wengine wengi.
Je, Tesha ameipata hii? Kama ameipata, waliomtuma wanangoja yafike haya.
Kweli mtandao ni hatari.
Kama kweli kilichotokea kwa Humphrey Polepole kilimhusisha, uwezekano wa kuwa marehemu ni mkubwa. Tujikumbushe walivyommaliza:
Edward Sokoine,
Horace Kolimba,
Imran Kombe,
Dkt. Omari Ali Juma,
na wengine wengi.
Je, Tesha ameipata hii? Kama ameipata, waliomtuma wanangoja yafike haya.
Kweli mtandao ni hatari.