luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
Wewe ndo mjinga unataka umtumie unavyotaka umpotezee muda? Nimempenda bure ana msimamo, wacha aendelee na maisha yake, wewe rudi mitaani kuna vya bure unatumia unavyotaka.
Wewe ndo mjinga unataka umtumie unavyotaka umpotezee muda? Nimempenda bure ana msimamo, wacha aendelee na maisha yake, wewe rudi mitaani kuna vya bure unatumia unavyotaka.
Aende tu sio lazima nipigeSijisikiagi Amani kuachana nademu kama sijaandaa nakuipiga show yamwisho yakibabe zaidi mpaka anaghairisha maamuzi yake alafu mda huo mimi ndio najisepea zangu hivyo. Mtu akikutishia panga wewe mkate nao kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaslay kabisa hata mimi nimegunduaIla demu ana mwandiko wa ovyo kweli yaani.
Itakua kakimbia ukataHapa waliokushauri umpige chini watakuja tena kukulaumu.
Ila huyo demu alishakua na mchepuko,sio kirahisi hivo,au wewe bahili ulikua hutoi matunzo.
Upo sawa kabisa ukiona mdada anakukazia wewe ujue kuna mtu huko mpaka anaikimbia yaani anaichezea sana kama yakeluckyline
Toka nilione jua [ Sun ] sijawahi kuonana na msichana mwenye msimamo unless otherwise wewe men ukikataliwa fahamu Kuna mwanaume mwenzako
Anawakilisha bendera tena huyu anachezea Mpaka basi
Enough
Ha ha ha!!Write your reply...DEMU ANAANDIKA HAMNA NOMA HUYO ATAKUWA MBOVU TU
Ahahab eti ni bidhaa. Inafurahisha kwa kweli, wasichana tujitambue.ushetani(uzinzi umetawala)Bora umeuacha na usiende kwa mwingine unawazeesha mabinti wa Watu,wanao chuja ni hao wabinti, Mwanaume hachuji, na huenda huyo binti ameona ni ujinga bora amebana,
Afu mabinti mtazeeshwa sana muwe tayari kuepuka kutumika kizembe namsifu huyo binti ameona ujinga anafanya na mwisho wa Siku haolewi hapo,kijana mtafuta mtu ambaye utamuoa sio kuzeesha mabinti wa Watu ni ujinga mtupu unafanya na jiandae Kwa ajili wa watoto wako au mke wako atagonga hivyo hivyo ili uone inavyouma kuchakata mabinti alafu huwaoi,Watoto wako wakijakuwa masingle Mother ndo uone uchungu au wakichakatwa paka utaelewa ndo malipo hayo badilika.
pujo
Njoo useme kitu hapa haiwezekani achezee mabinti za watu afu hawaoi.
Ni kweli kabisaAhahab eti ni bidhaa. Inafurahisha kwa kweli, wasichana tujitambue.
Haha yan vibinti karibu vyote vishaingiwa na virus vya uslay QueenDah! Sasa hapo kwenye majibizano mwanamke nani na mwanaume nani?
Na ujasiri wa kudate na mtu anaandika kihuni huni "xawa, tyu" mnautoaga wapi?
Mwandiko wakati mwingine ni usaili tosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah babake mchaga,Mamake wa taboraDemu wa kaskazin huyo.....et haina noma