Kama unawaza kuajiriwa kwa sasa basi jua utakufa masikini | Tena utakufa na umasikini wa kujitakia

Granted Faith

Member
Jul 4, 2021
57
292
Vijana na wadogo zangu nawapa ushauri wa bure kabisa kama akili yako kwa sasa inawaza kuajiriwa basi jitahidi kufuta ili wazo la kuajiriwa kwa sasa na uangalie other alternative ya kutimiza ndoto zako.

Kama unawaza kuajiriwa kwenye karne hii ya corona basi jua utakufa masikini tena kwa umasikini wa kujitakia mwenyewe,

Kama unasubiri serikali au taasisi binafsi ikupe ajira basi kaa ukijua umri unaenda na siku zinaenda vile vile the more unavyosubiri ajira na ndivyo unavyozidi kufa masikini.

Uwa nasikitika sana kusikia kijana amekaa nyumba 5 years bila ajira na yupo yupo tu hana direction yeyote na bado anasubiri siku aitwe apewe kazi watu kama hawa uwa nawaona wana akili finyu sana.

Fursa zipo nyingi ila hawazioni wamebaki kusubiri kuajiriwa narudia tena fursa zipo nyingi sana ila hawa wanaojiita wasomi wa vyuo vikuu hawataki kuchangamkia fursa wanachosubiri ni post za ajira kwenye magroup ya whatsapp waapply wasubiri kuajiriwa

Ajira kwa sasa ni sawa na kubet kuna kupata na kuna kukosa.

Vijana acheni kuwaza kuajiriwa kwa sasa fikirieni nje ya box kwenye fursa zilizopo mtaani fursa ni nyingi sana ni kuwa na passion tu na hicho kitu.

Mfano kuna hii mikopo ya halmshauri ambayo imetolewa kwaajili ya vijana, wanawake na walemavu. Inayosaidia vijana kujipatia mikopo na kufanya development activities na mikopo hiyo inacharge lowest interest rate ili watu waweze kufanya shughuli zao na kujipatia kipato.

Mikopo ya halmashauri inatolewa kwa kikundi mfano vijana watano wanaji organize wanaomba 20m ya kufanyia biashara ili kujipatia kipato.

Hii mikopo imewasaidia vijana wengi sana ambao wamewaza nje ya box badala ya kusubiri kuajiriwa wamejiajiri wenyewe na wanaendesha maisha yao.

Last week nimetoka songwe isee kuna vijana wanapambana kupita maelezo na asilimia kubwa ya vijana hao ni wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali waechukua mkopo wa halmashauri wamejiajiri kwenye kuuza mchele wanasupply sehemu mbali mbali hadi zambia wanapeleka. Wananiambia wamekuwa watu wengine na hawafikirii kuajiriwa kwani biashara wanayofanya inawalipa zaidi.

Vijana acheni uwoga wa maisha biashara zinalipa ila inategemea hiyo biashara unafanyia wapi na wakati gani. Na biashara is all about passion and determination.

Wewe endelea kusubiri ajira portal wapost matangazo ya ajira kwenye whatsapp groups wakati wengine wanaingiza hela kwa kujiajiri kwenye biashara na vitu tofauti tofauti na wanaingiza mkwanja.

Waajiri nao wamekuwa wajanja wanaangalia experience kuanzia 1 year na kuendelea, kaa chini jiulize utatoboa au utakuwa unasindikiza watu huku umri unaenda na huna kitu chochote.

Wewe endelea kulia lia kazi hamna utakuja kushtuka umekuwa mzee na umekuwa mzigo kwa watu.

Maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
 
Mejazana huko makazini, meajiriwa mpk mechoka ndiyo mnakuja na kauli vijana mjiajiri.
Baada ya kukosa pesa za kuajiri vijana ndiyo mnakuja na kauli zenu.
Mbona mnaweweseka sana na ajira zenu?
Tayari.
 
Vijana na wadogo zangu nawapa ushauri wa bure kabisa kama akili yako kwa sasa inawaza kuajiriwa basi jitahidi kufuta ili wazo la kuajiriwa kwa sasa na uangalie other alternative ya kutimiza ndoto zako.

Kama unawaza kuajiriwa kwenye karne hii ya corona basi jua utakufa masikini tena kwa umasikini wa kujitakia mwenyewe,

Kama unasubiri serikali au taasisi binafsi ikupe ajira basi kaa ukijua umri unaenda na siku zinaenda vile vile the more unavyosubiri ajira na ndivyo unavyozidi kufa masikini.

Uwa nasikitika sana kusikia kijana amekaa nyumba 5 years bila ajira na yupo yupo tu hana direction yeyote na bado anasubiri siku aitwe apewe kazi watu kama hawa uwa nawaona wana akili finyu sana.

Fursa zipo nyingi ila hawazioni wamebaki kusubiri kuajiriwa narudia tena fursa zipo nyingi sana ila hawa wanaojiita wasomi wa vyuo vikuu hawataki kuchangamkia fursa wanachosubiri ni post za ajira kwenye magroup ya whatsapp waapply wasubiri kuajiriwa

Ajira kwa sasa ni sawa na kubet kuna kupata na kuna kukosa.

Vijana acheni kuwaza kuajiriwa kwa sasa fikirieni nje ya box kwenye fursa zilizopo mtaani fursa ni nyingi sana ni kuwa na passion tu na hicho kitu.

Mfano kuna hii mikopo ya halmshauri ambayo imetolewa kwaajili ya vijana, wanawake na walemavu. Inayosaidia vijana kujipatia mikopo na kufanya development activities na mikopo hiyo inacharge lowest interest rate ili watu waweze kufanya shughuli zao na kujipatia kipato.

Mikopo ya halmashauri inatolewa kwa kikundi mfano vijana watano wanaji organize wanaomba 20m ya kufanyia biashara ili kujipatia kipato.

Hii mikopo imewasaidia vijana wengi sana ambao wamewaza nje ya box badala ya kusubiri kuajiriwa wamejiajiri wenyewe na wanaendesha maisha yao.

Last week nimetoka songwe isee kuna vijana wanapambana kupita maelezo na asilimia kubwa ya vijana hao ni wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali waechukua mkopo wa halmashauri wamejiajiri kwenye kuuza mchele wanasupply sehemu mbali mbali hadi zambia wanapeleka. Wananiambia wamekuwa watu wengine na hawafikirii kuajiriwa kwani biashara wanayofanya inawalipa zaidi.

Vijana acheni uwoga wa maisha biashara zinalipa ila inategemea hiyo biashara unafanyia wapi na wakati gani. Na biashara is all about passion and determination.

Wewe endelea kusubiri ajira portal wapost matangazo ya ajira kwenye whatsapp groups wakati wengine wanaingiza hela kwa kujiajiri kwenye biashara na vitu tofauti tofauti na wanaingiza mkwanja.

Waajiri nao wamekuwa wajanja wanaangalia experience kuanzia 1 year na kuendelea, kaa chini jiulize utatoboa au utakuwa unasindikiza watu huku umri unaenda na huna kitu chochote.

Wewe endelea kulia lia kazi hamna utakuja kushtuka umekuwa mzee na umekuwa mzigo kwa watu.

Maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
Watakufa masikini. Wewe hapo ni tajiri? Mbona kwenye list za watu matajiri hauonekani?
Hata Jafo huwa anasema vijana mjiajiri ila yeye ana miaka za 10 ameajiriwa.
Mwambie ache huo uwaziri ajiajiri. Akikupa jibu weka hapa.
Palipo na fursa unachezea hapo hapo hata km ni ya kuajiriwa
 
Mtumishi wa umma sekta flani anachukua take home Tsh 900,000/= kwa mwezi yaani kwa siku anatengeneza net profit ya Tsh 30,000/=

Haya hebu tuambie ni biashara gani inakupa faida ya elfu thelathini kwa siku mfululizo kwa siku 30 na je hiyo biashara inahitaji mtaji kiasi gani
 
Vijana na wadogo zangu nawapa ushauri wa bure kabisa kama akili yako kwa sasa inawaza kuajiriwa basi jitahidi kufuta ili wazo la kuajiriwa kwa sasa na uangalie other alternative ya kutimiza ndoto zako.

Kama unawaza kuajiriwa kwenye karne hii ya corona basi jua utakufa masikini tena kwa umasikini wa kujitakia mwenyewe,

Kama unasubiri serikali au taasisi binafsi ikupe ajira basi kaa ukijua umri unaenda na siku zinaenda vile vile the more unavyosubiri ajira na ndivyo unavyozidi kufa masikini.

Uwa nasikitika sana kusikia kijana amekaa nyumba 5 years bila ajira na yupo yupo tu hana direction yeyote na bado anasubiri siku aitwe apewe kazi watu kama hawa uwa nawaona wana akili finyu sana.

Fursa zipo nyingi ila hawazioni wamebaki kusubiri kuajiriwa narudia tena fursa zipo nyingi sana ila hawa wanaojiita wasomi wa vyuo vikuu hawataki kuchangamkia fursa wanachosubiri ni post za ajira kwenye magroup ya whatsapp waapply wasubiri kuajiriwa

Ajira kwa sasa ni sawa na kubet kuna kupata na kuna kukosa.

Vijana acheni kuwaza kuajiriwa kwa sasa fikirieni nje ya box kwenye fursa zilizopo mtaani fursa ni nyingi sana ni kuwa na passion tu na hicho kitu.

Mfano kuna hii mikopo ya halmshauri ambayo imetolewa kwaajili ya vijana, wanawake na walemavu. Inayosaidia vijana kujipatia mikopo na kufanya development activities na mikopo hiyo inacharge lowest interest rate ili watu waweze kufanya shughuli zao na kujipatia kipato.

Mikopo ya halmashauri inatolewa kwa kikundi mfano vijana watano wanaji organize wanaomba 20m ya kufanyia biashara ili kujipatia kipato.

Hii mikopo imewasaidia vijana wengi sana ambao wamewaza nje ya box badala ya kusubiri kuajiriwa wamejiajiri wenyewe na wanaendesha maisha yao.

Last week nimetoka songwe isee kuna vijana wanapambana kupita maelezo na asilimia kubwa ya vijana hao ni wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali waechukua mkopo wa halmashauri wamejiajiri kwenye kuuza mchele wanasupply sehemu mbali mbali hadi zambia wanapeleka. Wananiambia wamekuwa watu wengine na hawafikirii kuajiriwa kwani biashara wanayofanya inawalipa zaidi.

Vijana acheni uwoga wa maisha biashara zinalipa ila inategemea hiyo biashara unafanyia wapi na wakati gani. Na biashara is all about passion and determination.

Wewe endelea kusubiri ajira portal wapost matangazo ya ajira kwenye whatsapp groups wakati wengine wanaingiza hela kwa kujiajiri kwenye biashara na vitu tofauti tofauti na wanaingiza mkwanja.

Waajiri nao wamekuwa wajanja wanaangalia experience kuanzia 1 year na kuendelea, kaa chini jiulize utatoboa au utakuwa unasindikiza watu huku umri unaenda na huna kitu chochote.

Wewe endelea kulia lia kazi hamna utakuja kushtuka umekuwa mzee na umekuwa mzigo kwa watu.

Maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
Kwan ukifa tajiri itakusaidia nn?TUSITISHANE bhana...ebo
 
Mtumishi wa umma sekta flani anachukua take home Tsh 900,000/= kwa mwezi yaani kwa siku anatengeneza net profit ya Tsh 30,000/=

Haya hebu tuambie ni biashara gani inakupa faida ya elfu thelathini kwa siku mfululizo kwa siku 30 na je hiyo biashara inahitaji mtaji kiasi gani
Acha kuchekesha...
 
Vijana na wadogo zangu nawapa ushauri wa bure kabisa kama akili yako kwa sasa inawaza kuajiriwa basi jitahidi kufuta ili wazo la kuajiriwa kwa sasa na uangalie other alternative ya kutimiza ndoto zako.

Kama unawaza kuajiriwa kwenye karne hii ya corona basi jua utakufa masikini tena kwa umasikini wa kujitakia mwenyewe,

Kama unasubiri serikali au taasisi binafsi ikupe ajira basi kaa ukijua umri unaenda na siku zinaenda vile vile the more unavyosubiri ajira na ndivyo unavyozidi kufa masikini.

Uwa nasikitika sana kusikia kijana amekaa nyumba 5 years bila ajira na yupo yupo tu hana direction yeyote na bado anasubiri siku aitwe apewe kazi watu kama hawa uwa nawaona wana akili finyu sana.

Fursa zipo nyingi ila hawazioni wamebaki kusubiri kuajiriwa narudia tena fursa zipo nyingi sana ila hawa wanaojiita wasomi wa vyuo vikuu hawataki kuchangamkia fursa wanachosubiri ni post za ajira kwenye magroup ya whatsapp waapply wasubiri kuajiriwa

Ajira kwa sasa ni sawa na kubet kuna kupata na kuna kukosa.

Vijana acheni kuwaza kuajiriwa kwa sasa fikirieni nje ya box kwenye fursa zilizopo mtaani fursa ni nyingi sana ni kuwa na passion tu na hicho kitu.

Mfano kuna hii mikopo ya halmshauri ambayo imetolewa kwaajili ya vijana, wanawake na walemavu. Inayosaidia vijana kujipatia mikopo na kufanya development activities na mikopo hiyo inacharge lowest interest rate ili watu waweze kufanya shughuli zao na kujipatia kipato.

Mikopo ya halmashauri inatolewa kwa kikundi mfano vijana watano wanaji organize wanaomba 20m ya kufanyia biashara ili kujipatia kipato.

Hii mikopo imewasaidia vijana wengi sana ambao wamewaza nje ya box badala ya kusubiri kuajiriwa wamejiajiri wenyewe na wanaendesha maisha yao.

Last week nimetoka songwe isee kuna vijana wanapambana kupita maelezo na asilimia kubwa ya vijana hao ni wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali waechukua mkopo wa halmashauri wamejiajiri kwenye kuuza mchele wanasupply sehemu mbali mbali hadi zambia wanapeleka. Wananiambia wamekuwa watu wengine na hawafikirii kuajiriwa kwani biashara wanayofanya inawalipa zaidi.

Vijana acheni uwoga wa maisha biashara zinalipa ila inategemea hiyo biashara unafanyia wapi na wakati gani. Na biashara is all about passion and determination.

Wewe endelea kusubiri ajira portal wapost matangazo ya ajira kwenye whatsapp groups wakati wengine wanaingiza hela kwa kujiajiri kwenye biashara na vitu tofauti tofauti na wanaingiza mkwanja.

Waajiri nao wamekuwa wajanja wanaangalia experience kuanzia 1 year na kuendelea, kaa chini jiulize utatoboa au utakuwa unasindikiza watu huku umri unaenda na huna kitu chochote.

Wewe endelea kulia lia kazi hamna utakuja kushtuka umekuwa mzee na umekuwa mzigo kwa watu.

Maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga.
Mada yako ni nzuri mno,umekosea kipengele kimoja tu, kusema eti Tanzania kuna fursa nyingi,mkuu hakunaga fursa bila Pesa, Serikali haina msaada wowote kwa vijana,utalima bila Pesa? Utachimba madini bila Pesa?
Kwa hiyo ni sawa na Kama hakuna fursa,ndo maana wanatafuta ajira hata miaka kumi,sasa wafanyeje? Waibe?
Tuna Serikali ya hovyo sana,ukiwasikia hawa ma zero Brain wa CCM,wanasema hivyo hivyo Kama wewe,eti vijana nchi ina fursa nyingi,fursa popote Duniani zipo ukiwa na Pesa tu.
Utafuga bila Pesa? Nani atakupa mtaji?
Ningekuwa sijawahi kuizunguka Dunia ningesema Tanzana is a world's paradise, lakini ni Kuzimu ya hapa Duniani, maisha ya Watanzania hayana Tofauti na wananchi wa Syria iliyochakazwa na vita.
Kifupi Tanzania hakuna fursa yoyote labda fursa ya kutekwa.
 
Mejazana huko makazini, meajiriwa mpk mechoka ndiyo mnakuja na kauli vijana mjiajiri.
Baada ya kukosa pesa za kuajiri vijana ndiyo mnakuja na kauli zenu.
Mbona mnaweweseka sana na ajira zenu?
Tatizo lenu mnashauriwa mnaleta ubishi, haya endeleeni kutafuta hizo kazi zenye mishahara ya laki saba au milioni tuone kama mtatoboa. Mtabaki tena kulalamika maisha magumu kila siku. Kwa kijana yeyote kama ataamua kujiajiri mwenyewe kuanzia sasa hivi baada ya miaka mitano ijayo atakuwa mbali sana kuliko aliyeajiriwa.
 
Mada yako ni nzuri mno,umekosea kipengele kimoja tu, kusema eti Tanzania kuna fursa nyingi,mkuu hakunaga fursa bila Pesa, Serikali haina msaada wowote kwa vijana,utalima bila Pesa? Utachimba madini bila Pesa?
Kwa hiyo ni sawa na Kama hakuna fursa,ndo maana wanatafuta ajira hata miaka kumi,sasa wafanyeje? Waibe?
Tuna Serikali ya hovyo sana,ukiwasikia hawa ma zero Brain wa CCM,wanasema hivyo hivyo Kama wewe,eti vijana nchi ina fursa nyingi,fursa popote Duniani zipo ukiwa na Pesa tu.
Utafuga bila Pesa? Nani atakupa mtaji?
Ningekuwa sijawahi kuizunguka Dunia ningesema Tanzana is a world's paradise, lakini ni Kuzimu ya hapa Duniani, maisha ya Watanzania hayana Tofauti na wananchi wa Syria iliyochakazwa na vita.
Kifupi Tanzania hakuna fursa yoyote labda fursa ya kutekwa.
Umemjibu vyema huyo mshamba
 
Tatizo lenu mnashauriwa mnaleta ubishi, haya endeleeni kutafuta hizo kazi zenye mishahara ya laki saba au milioni tuone kama mtatoboa. Mtabaki tena kulalamika maisha magumu kila siku. Kwa kijana yeyote kama ataamua kujiajiri mwenyewe kuanzia sasa hivi baada ya miaka mitano ijayo atakuwa mbali sana kuliko aliyeajiriwa.
Nina uhakika huna hata kipato cha 15000 kwa Siku !!! Unachofanya ni kujishebedua !!! Kamshauri babaako
 
Si tu anachekesha,huyo ni wa kuonea huruma,ni mjinga mno
Huo ndio ukweli kujiajiri Tz ni ngumu mno mno!!! Kuwa na consistency ya kipato hata cha 30000/ ni ngumu sana tusidanganyane hapa!! Hali ya watz ni duni ndio maana watu wanasaka ajira!?? Tatizo mna ongea kujifurahiza na kuwafurahisha mabwana zenu viongoz lakin maisha ya watz ni magumu!! Hata nyie mnajifanya mmetoboa maisha sio kweli!!! Ni kwakuwa hatuwaoni!!! Nyie ni mafukara tuuu msijishebedue!!! Kenge nyie!!
 
Kama una nafasi ya kuajiriwa, vizuri ukaajiriwa lakini kama umetafuta ajira na imeshindikana kupata, jitahidi kuwa na njia mbili; kwanza anza kutafuta fursa binafsi kama hiyo mikopo ya halmashauri ili ujiajiri, pili- endelea kutafuta kazi kwa sababu kazi ni rahisi kufanya na yenye uhakika wa maisha lakini itakupa fursa za mikopo zaidi ya hiyo ya Halmashauri na utaweza kujiajiri na kuajiri wengine.

Kwa nini vijana wengi hatuwezi kujiajiri hasa waliofika vyuo vikuu, kwangu jibu ni mfumo wa elimu yetu bado ni dhaifu kwenye dhana ya kujiajiri, pili ni fikra zetu bado duni hasa kwa wasomi kujiajiri kwa mtaji mdogo! Hivyo Elimu inahitajika na kubadilisha mitazomo/fikra zetu juu ya ajira.
 
Back
Top Bottom