Kama unataka kuolewa, basi fanya hivi……………

Pole sana Kaunga............ila nimesikitikitishwa na mtazamo wako kuhusu ndoa.......yaani kwako wewe ni about hapo red....mhhhh!!! Kuna kitu fulani nimejifunza, what you expect is what you get......nakushauri badili mtazamo wako...................na muombe Mungu atakupa mume mwema.

Ubarikiwe.

Ahsante sana Keren..ubarikiwe sana.

 
Last edited by a moderator:
Kama ungeijua dhana ya kuoa na kuolewa labda usingepata tabu ya kuwaza hayo uyawazayo...........
Look...........
1.Mwanamke anasubiri kutongozwa au sijui niseme kuposwa na mwanaume
2. Anasubiri kulipiwa mahari na mwanaume
3. Anasubiri kuolewa na mwanaume
4. Anaondoka kwao na kuhamia kwa mwanaume na kuanzisha familia

Mlolongo ni mrefu sana........ hata hivyo nakubaliana na wewe kwamba pia wanaume wanapaswa kufundwa kuhusu kum-handle mwanamke na ndio maana hapo zamani kulikuwa na jando na Unyago, lakini kiuhalisia mwanamke ndiye anayewajibika kwa kiasi kikubwa kumvutia mwanaume ili aolewe na pia kulinda uhusiano huo tofauti na wanaume kwa sababu mwisho wa siku yeye ndiye muathirika....haya mambo yamekaa ki-mfumo Dume na nimekuwa nikiandika hapa karibu kila siku.....................

-

Mwanamke Wa Kitanzania sijui ana matatizo gani katika kujivunia na kutumia haki zake!

Iwapo mwanamme ndo anamfata kumposa mwanamke na akalipa na mahari, ni dhahiri kuwa mwaname ndo mwenye shida.
 
Kama ungeijua dhana ya kuoa na kuolewa labda usingepata tabu ya kuwaza hayo uyawazayo...........
Look...........
1.Mwanamke anasubiri kutongozwa au sijui niseme kuposwa na mwanaume
2. Anasubiri kulipiwa mahari na mwanaume
3. Anasubiri kuolewa na mwanaume
4. Anaondoka kwao na kuhamia kwa mwanaume na kuanzisha familia

Mlolongo ni mrefu sana........ hata hivyo nakubaliana na wewe kwamba pia wanaume wanapaswa kufundwa kuhusu kum-handle mwanamke na ndio maana hapo zamani kulikuwa na jando na Unyago, lakini kiuhalisia mwanamke ndiye anayewajibika kwa kiasi kikubwa kumvutia mwanaume ili aolewe na pia kulinda uhusiano huo tofauti na wanaume kwa sababu mwisho wa siku yeye ndiye muathirika....haya mambo yamekaa ki-mfumo Dume na nimekuwa nikiandika hapa karibu kila siku.....................

-

mimi sikuungi mkono hata kidogo mfume dume ni enzi hizoo mapenzi ni kupendana na sio utumwa hapo naona unamuweka mwanamke kama mtumwa nooooooooo pls mwanaume anatakiwa awe na majukumu ya kulinda ndoa yake otherwise sikubaliania na wewe hata kidogo
 
Umesahau moja mkuu, wanaume tunapenda wanawake wenye tabia nzuri, tukijuwa tu unachakachuliwa hovyo, tunakupiga chini fasta.
 
Back
Top Bottom