Kama unataka kulinda uchumi na afya yako acha mambo yafuatayo;

Hata ujitunzeje kufa kupo pale pale tu.

Fanya moyo unapenda ila kiwe kwa kiasi
 
Barikiwa sana kiongozi kwa ushauri mzuri
 
Yaani baba wawili anigegede kwa ajili ya kunipiga mimba!!!!?
Hapa ni mwendo wa kulalana tu!
Siku nikitaka kuwa romantic namnywea wine,, nikitaka kuchangamka vizuri na kuwa steji shoo mzuri kwa lupaso napiga Kilimanjaro, tukitaka kupeana za ki hardcore tunapiga konyagi na mechi za kushtukiza ziko pale pale.
 
Mmmmmh leo dada
 
masonic. yule mwamba aliamua kumpigia magoti shetani. usidanganyike naye



JESUS IS LORD&SAVIOR
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ acheni hizi mambo bna, Yesu hahitaji kumchafua mtu ili uone ukuu wake.

Ukuu wa Yesu upo vizazi na vizazi bila kuwategemea kina Diamond.

Masonic unaijua wewe, ukiambiwa uichambue utaweza??

Yesu hahitaji usaidizi, hahitaji uichafue hiyo masinic usiyoijua ili yeye aonekane mkuu.

YESU NI MUNGU..
 
Usipo fanya hayo yote duniani utakuwa umekuja kufanya Nini Sasa kutalii maisha ni mara moja tu yaishi maana hayarudi tena siku ikipita ndio imepita ndio maisha yako
 
Usipo fanya hayo yote duniani utakuwa umekuja kufanya Nini Sasa kutalii maisha ni mara moja tu yaishi maana hayarudi tena siku ikipita ndio imepita ndio maisha yako
all in all is vanity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…