MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu kutumia simu elevu (smart phones), kutazama channel TV mbali mbali na kupekuwa mitandao ya kijamii tofauti tofauti kama Jamii Forums, Twitter, Facebook, Instagram na Whatapps.
Yote haya yamepelekea watu wengi kuanza kupata magonjwa yasiyo ambukizwa kama shinikizo la damu, stress na mengine mengi.
Haya yote yanatokana na watu kupenda kupekua pekua mambo yanayowachukiza hivyo kujikuta wakinyongonyea kwa habari wanazozipata ambazo hawazipendi na hawakutarajia kuzisikia.
Nyingi ya habari hizo ni za serikali kufanya baadhi ya uamuzi ambao wengi hawakuutarajia na hawakuzoea serikali za awali zikichukua uamuzi huo.
Wengine hujikuta wakitikana na kivunja sheria za mitandao na kujikuta wako kwenye mikono ya sheria.
Nawashauri muanze kusoma habari kwenye vyombo ambavyo venye mlengo wa serikali maana hapo utapata habari za ujenzi Wa reli kwa kiwango cha standard gauge, ujenzi wa bwawa la umeme pale Stiglier's Gorges, ununuzi wa ndege na mambo mengine ya namna hiyo.
Ukikomaa na habari za mitandao, magazeti mengine utakonda bure na pengine kufa kabisa kwa chuki dhidi ya serikali. Na mwisho wa siku huwezi badili chochote.
Nawatakia siku njema sana
Yote haya yamepelekea watu wengi kuanza kupata magonjwa yasiyo ambukizwa kama shinikizo la damu, stress na mengine mengi.
Haya yote yanatokana na watu kupenda kupekua pekua mambo yanayowachukiza hivyo kujikuta wakinyongonyea kwa habari wanazozipata ambazo hawazipendi na hawakutarajia kuzisikia.
Nyingi ya habari hizo ni za serikali kufanya baadhi ya uamuzi ambao wengi hawakuutarajia na hawakuzoea serikali za awali zikichukua uamuzi huo.
Wengine hujikuta wakitikana na kivunja sheria za mitandao na kujikuta wako kwenye mikono ya sheria.
Nawashauri muanze kusoma habari kwenye vyombo ambavyo venye mlengo wa serikali maana hapo utapata habari za ujenzi Wa reli kwa kiwango cha standard gauge, ujenzi wa bwawa la umeme pale Stiglier's Gorges, ununuzi wa ndege na mambo mengine ya namna hiyo.
Ukikomaa na habari za mitandao, magazeti mengine utakonda bure na pengine kufa kabisa kwa chuki dhidi ya serikali. Na mwisho wa siku huwezi badili chochote.
Nawatakia siku njema sana