Kama unataka kuiona ndoa ni ngumu, oa mwanamke kutoka kanda ya ziwa hasa hasa hawa warefu na weupe

Kama unataka kuiona ndoa ni ngumu, oa mwanamke kutoka kanda ya ziwa hasa hasa hawa warefu na weupe

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,728
Reaction score
4,075
Kama unataka kuona chungu ya ndoa we nenda kaoe kanda yq ziwa utajuta hawa watu wana tamaa ya mali aisee sijawahi kuona aisee wajeuri, wajivuni na viburi na ushirikina kwao ni kama jadii yao tu wanaweza kukupiga limbwata mpaka ujute kusema ukweli Mimi nimenusurika kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tu ila bila hivyo ningejuta aisee.

Hawa kutoka Simiyu ndiyo usiombe kabisa kwanza wenzao ajabu kutoka shinyanga, Mwanza, Geita na Tabora wanawaogopa na wanawakwepa kuwaoa wanawajua kutokana na ukatili wao, ujeuri, kiburi na ujivuni ambao haona faida yoyote ile aisee
 
Bwashee , ulichapiwa na watu wa huo ukanda nini?
1770680090871.jpg
 
Sio wao tu, mwanamke akishajiona ni mzuri wa sura na umbo/shape huwa anakuwa changamoto sana kuishi nae.

Wengi wapo hivyo, sababu kubwa ni kuona soko lake lipo juu, anatongozwa na watu wenye uwezo zaidi yako, anapewa sifa kula siku, anaambiwa akuache ili aende kwa yule, anapewa pesa bila kuomba nk.

Sasa, bahati mbaya sana nao akili zao hazioni mbali, atafikiri anapendwa sana, hivyo kum-handle hapo ndani inaweza kuwa kazi sana.
 
Kama unataka kuona chungu ya ndoa we nenda kaoe kanda yq ziwa utajuta hawa watu wana tamaa ya mali aisee sijawahi kuona aisee wajeuri,wajivuni na viburi na ushirikina kwao ni kama jadii yao tu wanaweza kukupiga limbwata mpaka ujute kusema ukweli Mimi nimenusurika kwa uwezo wa MwenyeziMungu tu ila bila hivyo ningejuta aisee

Hawa kutoka Simiyu ndiyo usiombe kabisa kwanza wenzao ajabu kutoka shinya,Mwanza,Geita na Tabora wanawaogopa na wanawakwepa kuwaoa wanawajua kutokana na ukatili wao,ujeuri,kiburi na ujivuni ambao haona faida yoyote ile aisee
Halafu awe amejaalia kalio...alhamdulilah...nishapitamo...akili ku mkichwa...Fak endi flai..donti lavu andi krai....
 
Sio wao tu, mwanamke akishajiona ni mzuri wa sura na umbo/shape huwa anakuwa changamoto sana kuishi nae.

Wengi wapo hivyo, sababu kubwa ni kuona soko lake lipo juu, anatongozwa na watu wenye uwezo zaidi yako, anapewa sifa kula siku, anaambiwa akuache ili aende kwa yule, anapewa pesa bila kuomba nk.

Sasa, bahati mbaya sana nao akili zao hazioni mbali, atafikiri anapendwa sana, hivyo kum-handle hapo ndani inaweza kuwa kazi sana.
Mby zaidi awe amebeba matako makubwa
 
Kama unataka kuona chungu ya ndoa we nenda kaoe kanda yq ziwa utajuta hawa watu wana tamaa ya mali aisee sijawahi kuona aisee wajeuri,wajivuni na viburi na ushirikina kwao ni kama jadii yao tu wanaweza kukupiga limbwata mpaka ujute kusema ukweli Mimi nimenusurika kwa uwezo wa MwenyeziMungu tu ila bila hivyo ningejuta aisee

Hawa kutoka Simiyu ndiyo usiombe kabisa kwanza wenzao ajabu kutoka shinya,Mwanza,Geita na Tabora wanawaogopa na wanawakwepa kuwaoa wanawajua kutokana na ukatili wao,ujeuri,kiburi na ujivuni ambao haona faida yoyote ile aisee
Stop this nonsense kama vipi Kaoe kijijini kwenu.
 
Kama unataka kuona chungu ya ndoa we nenda kaoe kanda yq ziwa utajuta hawa watu wana tamaa ya mali aisee sijawahi kuona aisee wajeuri,wajivuni na viburi na ushirikina kwao ni kama jadii yao tu wanaweza kukupiga limbwata mpaka ujute kusema ukweli Mimi nimenusurika kwa uwezo wa MwenyeziMungu tu ila bila hivyo ningejuta aisee

Hawa kutoka Simiyu ndiyo usiombe kabisa kwanza wenzao ajabu kutoka shinya,Mwanza,Geita na Tabora wanawaogopa na wanawakwepa kuwaoa wanawajua kutokana na ukatili wao,ujeuri,kiburi na ujivuni ambao haona faida yoyote ile aisee

Psychology inasema every person is an individual, hamna binadamu anayefanana na mwenzie hata mmoja (hata identical twins) so kugeneralize watu wote kwa kuwa umepigwa na mmoja hutendi haki mkuu! Bebaga tu mzigo wako mzee.

Tabia za mtu zinaundwa na mambo mengi sana IQ, EQ, shule, wazazi, dini, chuo, marafiki, imani, exposure, emotions. malezi na mengine mengi sana so haina maana wamama wote wa huo ukanda wamepitia kila kitu the same...

Povu linaruhisiwa kutibu prematurity...
 
Back
Top Bottom