3. Ngastuka mama muuza hana mtaji, ndio mana pombe ya leo ameitia maji.....1.Ngastuka mademu kuvaa nusu uchi,machale kundesa wanasambaza virusi
2.Ngastuka mbege ni tamu kuliko bia,machale kundesa gongo inatuharibia
awe kama preta maana yake awe mweusi au alimaanishanini???Kama unataka demu sema aweje..aweje
kama akienda bogie unapenda atokeje tokeje
Ndio nataka demu lakini,tuanzie JF ila asiwe FF
awe kama Preta..mtoto anajua Kudeka
asiwe kama Afrodenzi..yule wa mbezi
awe na mvuto kama Mwali...wadau wate JF wanamkubali
JF..Chit Chat...